Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Niko kwenye daladala hapa gali imejaa tumesimama, wadada kama wawili hivi wazuri. Wamevaa suruali na vitop vifupi kias kwamba akichezesha mkono tu chupi inaonekana maana imepanda juu zaid ya suruali!
Haya mambo mtakuja kuhamasishana kwenye daladaka iwe ishu maana kuna wanaume wengne akiona tu chupi hakamatiki. Kwa nin msivae nguo zinazofunika chupi zenu jaman?
Nimewah kuskia mdada akilalamika redioni kujikuta lijamaa limemtupia mbegu za kiume kwenye daladala. Mambo kama haya ndo yanasababisha au utashangaa lijamaa limekug'ang'ania kukukumbatia kwenye gari hata kama hamjabanana. Chunga sana hiki kishawish
Haya mambo mtakuja kuhamasishana kwenye daladaka iwe ishu maana kuna wanaume wengne akiona tu chupi hakamatiki. Kwa nin msivae nguo zinazofunika chupi zenu jaman?
Nimewah kuskia mdada akilalamika redioni kujikuta lijamaa limemtupia mbegu za kiume kwenye daladala. Mambo kama haya ndo yanasababisha au utashangaa lijamaa limekug'ang'ania kukukumbatia kwenye gari hata kama hamjabanana. Chunga sana hiki kishawish