Hivi kwanini hamthamini chupi zenu dada zangu?

Hivi kwanini hamthamini chupi zenu dada zangu?

Usisahau na wale wanaovaa nguo za kuonyesha makwapa af makwapa yenyewe yanatisha.....wanatia kinyaa kwa kweli..ptuuuu

mkuu bora umeliona na hili. Wenyewe wanaita fashen na itokee mtu akose siti kwenye daladala asimame ameshkilia yale machuma kwapa lijianike utataman apate siti angalau akae
 
Kuna jamaa jana kachezea kichapo cha haja kwenye daladala......(haihusiani na chupi) alijaribu kumbambia mdada, mwenzie kamvizia alivyotoa dudu tu akageuka kampa vitasa kadundwa kadundwa.... mashabiki(wanawake) wacha walichangie hadi akawa mbendembende kwa kichapo kama si konda kumuombea msamaha kwa juhudi angekuwa kwenye jengo la serikali kama sio polisi basi Muhimbili

Nikirudi kwenye mada....ushauri wa bure wanaume.... hebu zizoeeni hizo chupi maana kwa huu utandawazi mtapata kichaa

ushauri apo umezingua...na nyie mzoee izo harura zetu
 
nyie mnasema tu, ukiwa na chupi ina chata ya bangi lazima uiache hadharani kumuenzi bob na haile selasie.
 
nyie mnasema tu, ukiwa na chupi ina chata ya bangi lazima uiache hadharani kumuenzi bob na haile selasie.

hahaha... Mkuu hii idea yako aisee. Sasa nying znazoonekana hazina chata nyeupe pe, nyekundu au nyeus. Yaan rang moja
 
Niko kwenye daladala hapa gali imejaa tumesimama, wadada kama wawili hivi wazuri. Wamevaa suruali na vitop vifupi kias kwamba akichezesha mkono tu chupi inaonekana maana imepanda juu zaid ya suruali!
Haya mambo mtakuja kuhamasishana kwenye daladaka iwe ishu maana kuna wanaume wengne akiona tu chupi hakamatiki. Kwa nin msivae nguo zinazofunika chupi zenu jaman?
Nimewah kuskia mdada akilalamika redioni kujikuta lijamaa limemtupia mbegu za kiume kwenye daladala. Mambo kama haya ndo yanasababisha au utashangaa lijamaa limekug'ang'ania kukukumbatia kwenye gari hata kama hamjabanana. Chunga sana hiki kishawish

Kilambilalambila, hayo mavazi siku hizi yako pande zote si wadada wala wakaka.

Wote tubadilike.
 
Kwa nini msivae nguo zinazositiri miili yenu?? Mtu anavaa sketi fupi kupita maelezo, mwone sasa anavyokazana kuivuta ifike magotini, ujinga mtupu.
Wengine kazi kuvaa miboxer michafu, wiki nzima na hizi kata K, hata aibu hawana njiani hata kanisani ni milegezo na visketi vifupi tu.. Ujinga mtupu...!

Afadhari umegusia kote. Ni Kweli kabisa.
 
Hata nyinyi hamthamini boxer zenu tena sijui uwa mnavaa kwa wiki mana uwa na rangi za ziada...

Hata zaidi ya week aiseee....wapo men wengine ni wachafu kupindukia....pole sana wadada maana kazi mnayo
 
Back
Top Bottom