Hivi kwa nini...?

Hivi kwa nini...?

Last edited by a moderator:
Wanakuwa kama paka kaficha kucha zake hasahasa wakiona kuna dalili za ndoa akisha sign ule mkataba wa ndoa anajua kishamaliza part yake ndio utakoma na kumjua tabia zake vizuri
 
Mkuu sijui lakini wacha niseme ninachofikiria mimi
'
Mambo yote ya mwanadamu huanzia kwenye kufikiri kwake
'
Ukifikiri kwa namna hii ndicho kitakachokutokea,hakuna cha kuzoeana wala nini
'
Hapo tu ndo panahusika!
 
tupe uziefu wako.. lazima kuna kitu wataka sema ila unasita..

Kimekusibu nini?
 
Kikawaida "People have time with unknown but not for known" and this is just the theory of life

kitu ukishakijua/kua nacho slowly ile anxious inapotea na kukiona cha kawaida sana unlike with the time it was still unknown
 
Kikawaida "People have time with unknown but not for known" and this is just the theory of life

kitu ukishakijua/kua nacho slowly ile anxious inapotea na kukiona cha kawaida sana unlike with the time it was still unknown
Eiyer, unaionaje hi theory ya Toria?
 
Last edited by a moderator:
The opposite is true for me. Kadri ninavyoendelea kuishi naye ndiyo nagundua kwamba ni mzuri zaidi na zaidi, na kwamba ana potentials nyingi kuliko nilivyokuwa namchukulia wakati namuoa.
 
Ni kweli mkuu, maana tulioana tukiwa hivi...

Black-Couple.jpg


Na sasa tuko hivi na mambo bado ni bambam

420-some-good-news-african-american-couple-laughing-together-imgcache-rev1316189611077.jpg

natamani nifikie hiyo picture ya pili, inshallah nitafika!
 
Why! basi na watu waishi kama wachumba au urafiki wa kalamu tu kusiwepo na ndoa wala nini
 
Wana tabia za kukinai upesi na tamaaa nyingi ndo maana huwa yanatokea hayo
 

mi nadhani kila mtu na mtazamo wake, kwangu mimi nivigumu kumchoka mpenzi wangu, kila nikiwanae namuona ni mpya... Labda naweza sema distance inachangia pia, maana siku tukionana utadhani ndiyo nachumbiwa upya full aibu... Hahahaaa......!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Shamba zuri la waridi lisipopaliliwa, magugu huvamia shamba na kuharibu mwonekano mzuri wa shamba hilo! Aidha, kipindi cha uchumba, mapenzi huwa motomoto! Siku haipiti bila kuongea na kumjulia hali mchumba wako. Hauruhusu siku ipite bila kumwona kuongea naye! Unakuwa makini katika kuteua maneno ya kuzumgumza naye, asije akasepa, na zawadi kemu kemu nzuri. Lakini baada ya kuoana unasitisha kufanya hayo ambayo ndiyo yaliamsha hisia nzuri za mapenzi ndani yako.

Aidha, moyo wa binadamu ni kama akaunti ya benki, kuna kutoa na kuweka fedha. Mambo mazuri unapomfanyie mwandani wako, hisia nzuri huongezeka ndani yenu. Ajabu, unataka kwenda kuchukua pesa benki na pesa hujaweka katika akaunti yako? Unatengemea nini? Ukimfanyia mabaya mwandani wako unaondoa akiba yote ya upendo ktk moyo wake na kinyume chake chuki, hasira, dharau, n.k. zinazidi kushamiri! Love your mate as you would have him/her love you!!
 
Back
Top Bottom