Hivi kwa nini...?

ha ha ha vitu gani vinavyobadilika? inawezekana mwanaume ndio anayebadilika
 
Hahaha...
Kaka mkubwa ngoja kwanza nikae pembeni, tuone kina mama watalishambulia vipi hili swali lako chokozi...
 
Hahaha...
Kaka mkubwa ngoja kwanza nikae pembeni, tuone kina mama watalishambulia vipi hili swali lako chokozi...
watu8 nadhani hii inakuhusu wewe zaidi....
 
Last edited by a moderator:
Eeee bwana, Eee shehe wetu, Eee Profesa wa jamii, Eee Mwalimu wa Umma .... Eee Doctor wa Vijana,
Nasema hivi siku hizi hufungi swaumu ? Naona una digi ya kufuturisha !!
jioni njema
 
ina ukweli sana mkuu! ila kwa ufupi wanaume tamaa inatumaliza! mtu anaweza kuwa na mke mzuri sana amaejaliwa kila kitu kinachoweza kumtoa udenda mwanaume yoyote ila akawa na mahusiano na mwanamke asiyefikia viwango vya mke wake! labda raha ya ngoma uingie ucheze au ndo msemo ule kila kizuri akikosi kasoro na hizo kasoro ndo zinatufanya wanaume tukaingia katika mahusiano ya nje
 


Mwanamke anaonekana kuwa mzuri anayetamanisha na anayefaa kuoa pale anapokuwa siyo mkeo, lakini akishakuwa mkeo kila kitu kinabadilika.

Sijasema anakuwa mbaya lakini.......

si uongo.......yaani hata wanaume ndio hivyo hivyo.....unaacha mumeo unaenda kutembea na mume wa mtu......ndio hali halisi......kote kote ni hivyo.......
 
Hata kipochi cha manyoya nacho unakichoka pia kama ulikuwa unapiga 4 unapunguza hadi 1

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
si uongo.......yaani hata wanaume ndio hivyo hivyo.....unaacha mumeo unaenda kutembea na mume wa mtu......ndio hali halisi......kote kote ni hivyo.......
Ha ha ha ha haaaaaa Preta aaaaaaaaaa.....!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…