Hivi kwa nini tabaka la chini hugombania Wanawake?

Hivi kwa nini tabaka la chini hugombania Wanawake?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Hili nimekuwa nikijiuliza sana, wakati nakuwa kitaani kwetu ilikuwa ni kawaida kwa Wanaume kugombania Mwanamke, walikuwa wanapigana ngumi kabisa mpaka kuumizana.

Nilivyokuwa nilipo sasa hivi Wanaume hawagombanii Wanawake ila Wanawake hujilengesha, na wakati mwingine wao ndo huvutana khanga na kununiana shauri ya Mwanaume mmoja ambaye wote wanamtaka.

Sasa kwa nini huko chini Wanaume wanapigania Mwanamke klk huku juu?
 
Hili nimekuwa nikijiuliza sana, wakati nakuwa kitaani kwetu ilikuwa ni kawaida kwa Wanaume kugombania Mwanamke, walikuwa wanapigana ngumi kabisa mpaka kuumizana.

Nilivyokuwa nilipo sasa hivi Wanaume hawagombanii Wanawake ila Wanawake hujilengesha, na wakati mwingine wao ndo huvutana khanga na kununiana shauri ya Mwanaume mmoja ambaye wote wanamtaka.

Sasa kwa nini huko chini Wanaume wanapigania Mwanamke klk huku juu?
Nimecheka sana mkuu! Lakini kwa ufupi Mi nafikirikwamba wanaume wa tabaka la chini huwa hawana means of "command" zaidi ya physical force. Kwa hiyo wanatumia zaidi "push factors" au stick methods au aggression. Wenzao wa tabaka la juu wana soft means au pull factors. Yaani wanavitu ambayo vinavutia wanawake kama vile pesa, maisha mazuri zaidi, biashara na fursa mbalimbali. Sina hakika sana kama hali ni hiyo hiyo kwa wanawake.
 
Ruge wa Clouds na yule ndugu wa waziri mkuu walimgombea zamaradi. Unazungumziaje daraja lao mleta uzi?
 
Back
Top Bottom