Hivi kuumizwa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

Haina miaka bob, ni hali ambayo inakuja automatic baada ya moyo kuburuzwa, kupigwa matukio ya kutosha, ili ujue sasa umekomaa nauli sasa hutumi,
akidai njaa inauma unamjibu pole, akidai gas imeisha unamwambia akajaze halafu unamwongezea kaushauri atumie Kwa mipango life Siyo simple,
Ukiona malalamiko yamezidi saaana usichague lakumjibu mwulize lolote, mfano: kwani Rose wangu wewe ni kilema?
Ukifikia level hiyo sasa nenda zako kumwagilia moyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…