Hivi kutongoza ni kipaji?

samahani jamani embu ni saidie, sifa gani ukiwa nazo unaonesha una mpini mkubwa?


Siku moja nilitembelea mitaa ya kinondoni makaburini kushusha uzito kidogo,niliyempata kabla hatujamalizana kwenye bei(maana nilikuwa nataka mkesha)akaniuliza huna kubwa lakini wewe.Nami nikamjibu wewe mfanyabiashara gani unaogopa mteja na umejuaje nina kubwa akanijibu si naona mavidole gumba ya miguu yako(maana nilikuwa na makubazi)na akaendelea na hayo mamidomo yako yalivyo makubwa ushahidi tosha,nikamwambia mimi wa kawaida tu na akanitahadharisha tukifika huko nikakuta ni kubwa na bei inaongezeka na wala hakukosea maana kweli bei iliongezeka .
 
Usihofu ukikutana na paka mweusi mie wala hutoniogopa tena utatamani uwe nami milele

Nikikutana na paka mweusi huwa nakemeaga kwa jina Yesu..halafu unavyojipaisha eti milele, hamna mtu aliyewahi kuwa na mtu mwingine milele dunia hii..ha ha ha:smile-big:
 

Yaani nakuunga mkono 100%, these days hakuna kuumiza kichwa unaomba tu namba ya simu, ukimtangia umemaliza mchezo. zamani watu walikuwa wanasote mwaka mzima kumpata demu bana. kuna my bro alikuwa mtaalaam balaa, we acha tu siku hizi hakuna mafundi wa kuimbishaaa, mambo yamerahisishwa mno.
 

Nahisi Paka Jimmy karibu utakuwa mwehu, hizi comment zako mie hoi! Okay well and good Dude! keep it up
 
mmmh!hongera NN, mi wananiogopa!wanasema umbo langu linaonyesha nina mpini mkubwa!


Haahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Bacha itabidi niombe gemu siku moja na wewe ili niuone huo mpini :becky:
 

Inawezekana ikawa ni ulemavu pia......aisee:eyebrows::lol:
 
Haahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Bacha itabidi niombe gemu siku moja na wewe ili niuone huo mpini :becky:

Karibu Lisa,usihofu!natumaini wewe unaweza ukauvumilia!
 

Kwa style hiyo utakuwa unakutana na wanaojiuza. Nafikiri jibu unalopewa ni "UNA SHILINGI NGAPI?"
Huko sio kutongoza; ni huwa napenda nimwimbishe dem hadi yeye sasa ndo aanze kunifuatilia ikiwa nimechelewa kumpa mambo.
 
Sometimes kukubaliwa na madem tofauti nahisi kama ni pepo fulani hivi! Imenitokea mara kama nne hivi; nakaa na kampani ya washkaji wenye pesa zaidi ya mimi, mnastarehe, mnahama viwanja; mwisho wale wenye kutaka kutongoza wanajaribu wanakataliwa; mimi bila kumtongoza dem, nashtukia naanzishiwa ukaribu at the end - NABEBA MZIGO.
 
Basi nyie wote hamjui maana ya kutongoza, huko si kutongoza bali ni KUTAKA!!!!

Sijaona mtongozaji hata mmoja humu bali WATAKAJI ndio mpo wengi
 
hujaawahi tongozwa humu?

kutongozwa, nimetongozwa sana tu... Na kila mtu anakuja na gia yake, sasa wewe uje na gia ya kuniambia eti ''nipe bas hicho kitu'' kwanza nitakuona kama umenikosea adabu.. Na jibu utakalo pata, utaenda kunyamazishwa na nyanya ako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…