Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,724
Aisee nakumbuka enzi niko secondary na chuo nilikuwa natamani sana kutongoza. Lakini cha ajabu ilikuwa nashindwa kuanza, na nilipojitutumua basi tena hadi jasho linakuwa linanitoka (kwa hofu). Lakini nilikuwa nashangaa kuna jamaa zangu wao ilikuwa easy kweli yani mkikutana na demu, akitoa tu salamu tayari inakuwa na mwelekeo wa kutongoza na akitaka kumtongoza basi inakuwa kirahisiiiiiiii. Ila mi ilikuwa ngumu aisee...
Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.
Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
Mimi ni kinyume chake. Mademu ndio huwa wananitongoza mimi.
Hapo kweye nyekundu ndugu yangu sijakubali kama umetulia na una mikakati yako unaweza kukaa hata miaka minne ukisubiri wakati muafaka hiyo kusema anaugua ni kujiendekeza tu kwanza kuruka ruka ovyo ni kuharibu afya yako na kupoteza nguvu zako tukwa mtazamo wangu kutongoza sio kipaji kabisa, sababu zipo nyingi:
1. hata asiye na akiri timamu kama kichaa naye anazaa, hii inamaanisha kitendo
hiki hakihitaji utaalamu wowote.
2. watoto wadogo wasiojua chochote ukiwafungia kwenye chumba kwa muda kidogo
tu unawakuta wamefanya jambo hili, nani kawafundisha au wameona wapi??
3. mwanamke asipotongozwa kwa muda mrefu huchanganyikiwa, mwanaume naye
asipopata hata mwezi tu huugua.......
ukitaka kuelewa jambo hili halihitaji utaalamu, tafuta mwanamke na mwanaume wenye
umri wa kufanya mambo ya wakubwa wasiopendana kabisa, wafungie ndani kwa miezi miwili tu, hata kama walikuwa hawapendani vipi, mwanamke mbaya vipi, mwaume mbaya vipi watafanya mambo haya. Vuta tu subila utashangaa unatembea na mwanamke bila ya kumtamkia hata neno moja.....
kwahiyo wanaume wengi mna kipaji kinachofanana kwa kujua kutongoza??!!..
Aisee nakumbuka enzi niko secondary na chuo nilikuwa natamani sana kutongoza. Lakini cha ajabu ilikuwa nashindwa kuanza, na nilipojitutumua basi tena hadi jasho linakuwa linanitoka (kwa hofu). Lakini nilikuwa nashangaa kuna jamaa zangu wao ilikuwa easy kweli yani mkikutana na demu, akitoa tu salamu tayari inakuwa na mwelekeo wa kutongoza na akitaka kumtongoza basi inakuwa kirahisiiiiiiii. Ila mi ilikuwa ngumu aisee...
Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.
Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
Weeeee acha kabisa hatufanani maana kuna wengine akikusalimia tu tayari utahisi mwili unasisimka.Na akianza maneno yake unasikia usingizi.Akikushika mkono utatamani akushike milele na wala sio uchawi
Paka Mweusi, naona idara hii uko fiti..nimekusoma!!..eeh, salamu tu msisimko kweli si mchezo!!!!.. umenichekesha
Yap. Mwanaume kamili hana longolongo anapohitaji 'kitu'.
Madem wanataka ulipue bomu. Hafu ukishalipua skilizia bila kuhofia retaliation.
Ukilipua lazima na yeye ajiulize cha kukujibu (lakini inategemea kama na yeye ni rijali). Na hapo ndo mazungumzo huanzia. Na mwisho kila kitu hukaa sawa.
Ukizunguka mbuyu tu..........watu wanakwapua.
Unajua wale mapaka weusi wanamikosi sana! huenda huyu jamaa anatokea kwa bibi manyau kule Mwananyamala
Aisee naomba hiyo mbinu yako uliyoibuni pls, maana mimi hadi leo nina shida ya kutongoza aisee! Maria Rosa amenisumbua PM hadi nimeamua kuiblock maama maona maneno hayatoki.Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.
Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
Aisee nakumbuka enzi niko secondary na chuo nilikuwa natamani sana kutongoza. Lakini cha ajabu ilikuwa nashindwa kuanza, na nilipojitutumua basi tena hadi jasho linakuwa linanitoka (kwa hofu). Lakini nilikuwa nashangaa kuna jamaa zangu wao ilikuwa easy kweli yani mkikutana na demu, akitoa tu salamu tayari inakuwa na mwelekeo wa kutongoza na akitaka kumtongoza basi inakuwa kirahisiiiiiiii. Ila mi ilikuwa ngumu aisee...
Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.
Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
Paka Mweusi, naona idara hii uko fiti..nimekusoma!!..eeh, salamu tu msisimko kweli si mchezo!!!!.. umenichekesha
Unajua wale mapaka weusi wanamikosi sana! huenda huyu jamaa anatokea kwa bibi manyau kule Mwananyamala
ha ha..nilikuwa nikikutana na paka weusi nashtuka na kukimbia hata kama hawakimbizi..sijui ni imani au ndo akili imekuwa imekariri paka weusi wana mambo ya kichawi...
Huwaga wananizimia tu...wanasemaga eti niko handsome na nina umbo zuri....
Mungu wangu weweeeeee
Mimi ukija na hiyo gia nakukimbiza km ifuatavyo yani.Jamani kwa style hiyo unampata mtu kweli?Mimi mwanamke njoo nikupe maujuzi ya kutongoza kaka.
Pole sana