kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,815
- 6,529
itakua tigo pesa ile ya *150*01#Unaongelea bikira ipi mkuu?
itakua tigo pesa ile ya *150*01#Unaongelea bikira ipi mkuu?
Hizo dalili zinaonesha mimba imeingia.Asalaam waungwana
Kuna kitu kinanitatiza hapa kuhusu bikra wengi wanasema kama hujawhi kufanya mapenzi ndo bikra na siku ya kwanza kufanya hivyo lazima upate maumivu pia damu lazima itoke asa kama damu ijatoka na hujapata maumivu zaidi tu umejisikia hovyo mwili kuchoka na hamu ya chakula kama homa hivi huna halafu ndo siku ya kwanza hujawahi fanya hilo tendo kabla inakuaje hapo?
Kumbe we bado?
Kwa maelezo hayo mwishoni inaonekana umetoka kuvunja amri ya sita muda si mrefu!
Umejisikia vibaya na kukosa hamu ya chakula!



Lazima itoke isipotoka hiyo feki
Halafu wanadhani janja² yao haijashtukiwaKuna wadada machangu wa siku hizi, wanajifanya mabikira baada ya kufanya uchangu kwa muda mrefu, wanakula dawa za mitishamba kuziba ile sehemu. Siku ukienda naye chumbani kumbikiri anajifanya analia kana kwamba anakuogopa lakini anakuwa na tomato sauce yake kwenye mkoba/pakti, wewe unafanya yako huku ukijitoa fahamu mwenzio anafungua pole pole kale kajipakti na kumwaga kitandani kusema umembikiri huku akilia kwa uchungu. Na mwanamme kwa ujinga anaanza kujisikia na kujawa na raha za kutoboa, huku akifikiria kumpa talaka mke wake wa ndoa nyumbani kumuoa changu/mali ya umma.
Hahahaha!Tena mpaka amng'ate na meno kabisa!!!
Ushauri wa dingiSoma achana na mambo ya kutombana mdogo wangu. Kama ulivyo sema haujasikia rahaa unafanya kwa kuiba inaonekana bado mdogo ndio kwanza form II. subiri umalize masomo utaona raha ya kutombana

Hapo sasa utakuwa unakula MuhogoKUTOLEWA BIKRA NA DAMU ISITOKE HII NI SAWA NA KULA DAFU LISILOKUWA NA MAJI.
Ya matakoUnaongelea bikira ipi mkuu?