Abdalah Lyimo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 269
- 153
Mi ni kijana mwenye umri wa miaka 23
Nimeajiriwa na nina mwaka wa pili sasa ila napata tabu kwan nala vyakula vya mahoterin kila cku mpaka muda mwingine nakosa hamu ya kula, Nguo zinanichosha kufua mpaka muda mwingine naamua kwenda dukan kununua ilimradi nisifue
Ninapoishi nyumba nayo inataka kufanyiwa usafi mpaka nafikiria kuoa sasa
Nilikua nauliza hivi umri huu wa miaka 23 naweza kuoa nikaishi na mwanamke vizur na kama naoa nioe mwanamke mwenye umri gan ?,
Msaada tafadhali wakuu wangu
Nimeajiriwa na nina mwaka wa pili sasa ila napata tabu kwan nala vyakula vya mahoterin kila cku mpaka muda mwingine nakosa hamu ya kula, Nguo zinanichosha kufua mpaka muda mwingine naamua kwenda dukan kununua ilimradi nisifue
Ninapoishi nyumba nayo inataka kufanyiwa usafi mpaka nafikiria kuoa sasa
Nilikua nauliza hivi umri huu wa miaka 23 naweza kuoa nikaishi na mwanamke vizur na kama naoa nioe mwanamke mwenye umri gan ?,
Msaada tafadhali wakuu wangu