Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Mume aliachishwa kazi miaka 4 imeisha, mke hajawahi lalamika hata siku moja kwanini mwanaume hatoi hela na hajawahi mlalamikia mwanaume kuhusu mahitaji ya pesa ndani,
Mke huwasilisha pesa zote za marupurupu mezani kila anapotoka kazini ili mwanaume atunze na apange matumizi yake,
Mke amekataa kujihusisha na bajeti ya pesa ndani pamoja na kuwa yeye ndiye ana kipato kwa miaka yote hii 4, ila mwanaume akimwambia wapange bajeti ndio anakubali si vinginevyo,
Mke kamuachia mwanaume kuwa mshauri mkuu wa pesa anazo tafuta yeye mke, kitakacho amuliwa na mwanaume na kuona kinafaa basi mke huridhia mke hana neno,
Mwanaume ndiye kaachiwa kadi ya benki kutoa na kupanga matumizi,
Mke hana tama ya kupenda vitu vya hali ya juu huwa mwanaume ndiye anaamua kumchukulia mke vitu vyenye thamani ila mke hataki, mke husema kama mume ataleta au kumnunulia sawa ila sio yeye.
Maswala mengi yanayohusu aina ya vitu, chakula na maisha yao mwanaume ana nafasi kubwa sana pamoja na kutokuwa na kipato,
Mwanamke kila atokapo kazini hufikia kumpa ripoti ya kazi alizozifanya na kipato alichokipata kwa siku hiyo, mke hana password kwenye simu mara nyingi humpa mumewe atumie simu yake na mumewake humpa mkewe simu yake atumie,
mke na mume hawana hata chembe ya siri ndani kwao, mume alipokuwa akifanya kazi alikuwa anamwachia mke walet kujua kuna hela ngapi, mfukoni mwa suruali mke hujua mume wake ana sh ngapi, mke alikuwa anajua benki mumewake ana sh ngapi na password zote anazijua mke
Wana JF nimeliona na nimeshuhudia nimeshangaa sana kwa mke kuwa na tabia hizo zaidi sana anajua mume hana kazi halafu amekataa kuwa msiri mwanaume anajua kila kitu hadi password zote za benki…
Hivi kweli wanawake kama hawa tunao wangapi. Ila huyu mwanaume sio kwamba kalelewa hapana au ameolewa hapana najiuliza je hili lawezekana kumpata mwanamke kama huyu.
Mke huwasilisha pesa zote za marupurupu mezani kila anapotoka kazini ili mwanaume atunze na apange matumizi yake,
Mke amekataa kujihusisha na bajeti ya pesa ndani pamoja na kuwa yeye ndiye ana kipato kwa miaka yote hii 4, ila mwanaume akimwambia wapange bajeti ndio anakubali si vinginevyo,
Mke kamuachia mwanaume kuwa mshauri mkuu wa pesa anazo tafuta yeye mke, kitakacho amuliwa na mwanaume na kuona kinafaa basi mke huridhia mke hana neno,
Mwanaume ndiye kaachiwa kadi ya benki kutoa na kupanga matumizi,
Mke hana tama ya kupenda vitu vya hali ya juu huwa mwanaume ndiye anaamua kumchukulia mke vitu vyenye thamani ila mke hataki, mke husema kama mume ataleta au kumnunulia sawa ila sio yeye.
Maswala mengi yanayohusu aina ya vitu, chakula na maisha yao mwanaume ana nafasi kubwa sana pamoja na kutokuwa na kipato,
Mwanamke kila atokapo kazini hufikia kumpa ripoti ya kazi alizozifanya na kipato alichokipata kwa siku hiyo, mke hana password kwenye simu mara nyingi humpa mumewe atumie simu yake na mumewake humpa mkewe simu yake atumie,
mke na mume hawana hata chembe ya siri ndani kwao, mume alipokuwa akifanya kazi alikuwa anamwachia mke walet kujua kuna hela ngapi, mfukoni mwa suruali mke hujua mume wake ana sh ngapi, mke alikuwa anajua benki mumewake ana sh ngapi na password zote anazijua mke
Wana JF nimeliona na nimeshuhudia nimeshangaa sana kwa mke kuwa na tabia hizo zaidi sana anajua mume hana kazi halafu amekataa kuwa msiri mwanaume anajua kila kitu hadi password zote za benki…
Hivi kweli wanawake kama hawa tunao wangapi. Ila huyu mwanaume sio kwamba kalelewa hapana au ameolewa hapana najiuliza je hili lawezekana kumpata mwanamke kama huyu.