Hivi kuna tabia ya kabila fulani?

Hivi kuna tabia ya kabila fulani?

Tatizo mnajua makabila machache sana nchini.

Nchi hii ina zaidi ya makabila 120 ila kutokana na UJINGA wetu, tunaishia kuchukua kabila moja au mawili kama makabila pekee ktk mkoa husika!. Mwishowe tunaposema kabila fulani wana tabia fulani tunajikuta tunazungumzia mkoa mzima wakati SIO SAHIHI!.

Chunga sana ktk kusema huyu ni kabila fulani!.

Waziii!¡-¡-¡-¡-
 
kila wakati utakuta watu wanajadili kwamba usiolewe/kuoa kabila fulani je kwa kufanya hivyo tunakuwa sahihi au tunakosea maana utakuta watu tumezaliwa 8 tumbo moja ila tabia tofauti iweje kabila lote lifanane tabia always avoid generalisation



Usemavyo ni kweli ila kuna makabila hapa Tanzania yana tabia za hajabu kama wanawake wa kichagga, makabila ya mkoa wa Mara, wapare, na nyinyi wahaya.
 
Usemavyo ni kweli ila kuna makabila hapa Tanzania yana tabia za hajabu kama wanawake wa kichagga, makabila ya mkoa wa Mara, wapare, na nyinyi wahaya.
kwa nn useme wanawake wanaume uwabague kwan kwan hao wanawake walzalwa peke yao
 
Yah kuna vtabia tena ukvjua yaan havkusumbui hata km huna kuna ka chumvi tu lazma utaka chovya tu hzo tabia n za kpekee hazfanan kwa wat wote na ndio znazo tofautsha ukabila, mfano mpenda biashara <chaga>, mpenda kushindana kusoma <haya>, mchoyo <gogo>, mpenda kujvunia utamaduni <masai>, mpenda kuzaa/ zalisha sana pasipo mpangilio na ni wakali sana kupitia ukal huo hupenda waheshimiwe <kurya, jita>, n.k tabia zinazo weza kuendana kwa watu wote labda kupenda pesa, hapa makabila yote yanahska, wivu, majungu, umalaya, chuki, kujkweza, kupenda ufahari, n.k ni baadh tu.
 
Jamani wahaya ni watu wa kureason! Mtu akitaka muwa apewe muwa jamani and virse versa z true..... sema tu huwa baadhi wanasahau kuwa anything too much is harmful
 
Ya hii ipo mkuu, kuzaliwa pamoja ktk familia sio rahisi mfanane tabia, ila kikabila ipo japo si lazima wote wa kabila hilo wawe hivo, ila wengi wao huwa sawa kwa tabia fulani zinazo aminika kuwa za kabila hilo. mfano:

Wachaga - Bahili (embu wewe mwenyewe thibitisha hili) iko hivyo fuatilia tu utaona + tabia zingine
Wakurya - Ukorofi
Masai - ........
Wahaya - malaya (ni true wengi wako hivyo)
Zaramo - umbea na mipasho + tabia zingine
Waha - Wakarimu
Wasukuma -
Wabena na Wahehe - roho mbaya + nyingine

Nadhani pia vinarithishwa automatically tu. Sorry ni katika kujibu tu, isiwe vita sijadili kabila la mtu hapa.

automatically wewe ni mhaya kwa mujibu wa pointers zako!!!!!
 
Waga napata tabu sana mtu akisema kabila fulani malaya.wachoyo..wabinafsi...just imagine tangu wew umekuwa either mwanamke or mwanaume u date na wanawake au wanaume wangapi
unakuwa na tofauti gani na yule anayejiuza ..?
Tabia ni mtu mwenyew na si vinginevyo
 
kila wakati utakuta watu wanajadili kwamba usiolewe/kuoa kabila fulani je kwa kufanya hivyo tunakuwa sahihi au tunakosea maana utakuta watu tumezaliwa 8 tumbo moja ila tabia tofauti iweje kabila lote lifanane tabia always avoid generalisation

hakuna kitu kama tabia za kikabila...japo kabila fulani linaweza kuwa na imani na misimamo flani kutokana na mafunzo yao ambayo yanakuwa handed dowm through generations.

Ni watu wenye fikra finyu, who doesnt think outside of the box, wanaopenda ku-draw conclusion based on flimsy research or no research at all ndo huwa wanapenda kugeneralize tabia za makabila..na wengi wa watu hawa huwa wanabase kwa hear-say..lakini ukiwauliza their personal experience kuhusu mambo haya hawana la kusema.

Its like women ambao everything they think they know about men is what they have been taught by fellow women..and they copy and paste everything without considering than men are different world over!!!

Ni kitu cha kawaida kukuta mtu kaenda kwenye semina ya wiki moja kenya..he has been in contact with just 10 people who attended the same seminer, one driver, one front-desk hotelier, one room attendant and several vague faces she met on the way to and from the seminar building..then out of those 13 persons she will come and tell you.."lemme tell you what the Kenyans are!" see?

Kila mtu ana tabia na traits zake so kuhukumu kabila ni ukosefu wa mawazo na fikra

Na ni watu hawa hawa ambao utawasikia wanasema "kabila flani huwa wanajifanya wanajua sana" kwake yeye haoni tatizo kujifanya anajua kuwa kabila fulani linajifanya linajua!!!!

kama katika point point A kuna Mkurya aliyemtengua mguu mkewe kwa kuchelewa kumfungulia mlango, basi katika point B kuna Mkurya ambaye mkewe anamuachia watoto alee na yeye anakwenda disco..and you can take my words to the bank and cash on them!!!
 
Waga napata tabu sana mtu akisema kabila fulani malaya.wachoyo..wabinafsi...just imagine tangu wew umekuwa either mwanamke or mwanaume u date na wanawake au wanaume wangapi
unakuwa na tofauti gani na yule anayejiuza ..?
Tabia ni mtu mwenyew na si vinginevyo

sawasawa kabisa...kuna msichana alikuja kunipa mkanda wa shost yake ambaye alikuwa demu wangu akaniambia "achana naye yule shem, ni malaya hakuna mfano, si unawajua wahaya? Yaani ni malaya we acha tu shem"...kabala masaa matatu hayajapita huyo huyo mtoa habari alishanichorea "v"!!!!!
 
Yah kuna vtabia tena ukvjua yaan havkusumbui hata km huna kuna ka chumvi tu lazma utaka chovya tu hzo tabia n za kpekee hazfanan kwa wat wote na ndio znazo tofautsha ukabila, mfano mpenda biashara <chaga>, mpenda kushindana kusoma <haya>, mchoyo <gogo>, mpenda kujvunia utamaduni <masai>, mpenda kuzaa/ zalisha sana pasipo mpangilio na ni wakali sana kupitia ukal huo hupenda waheshimiwe <kurya, jita>, n.k tabia zinazo weza kuendana kwa watu wote labda kupenda pesa, hapa makabila yote yanahska, wivu, majungu, umalaya, chuki, kujkweza, kupenda ufahari, n.k ni baadh tu.

kwa mbaali umeongea kitu
 
Usemavyo ni kweli ila kuna makabila hapa Tanzania yana tabia za hajabu kama wanawake wa kichagga, makabila ya mkoa wa Mara, wapare, na nyinyi wahaya.

natumaini hutapinga mtu akisema kabila lako ni watu wa kukurupuka na hawajui kuandika maneno kwa ufasaha
 
Tatizo mnajua makabila machache sana nchini.

Nchi hii ina zaidi ya makabila 120 ila kutokana na UJINGA wetu, tunaishia kuchukua kabila moja au mawili kama makabila pekee ktk mkoa husika!. Mwishowe tunaposema kabila fulani wana tabia fulani tunajikuta tunazungumzia mkoa mzima wakati SIO SAHIHI!.

Chunga sana ktk kusema huyu ni kabila fulani!.

Waziii!¡-¡-¡-¡-

Got you loud and clear
 
Nadhani kuna tabia huwa inajichomoza kwenye kabila fulani kisha watu wote wa kabila hilo wanabatizwa tabia hizo kama alivyosema na kubainisha mchangiaji baadhi ya makabila na tabia zao.
Haiyumkaniki kabila zima kuvaa sifa hiyo kwani hata watu waliotokana na baba na mama mmoja kuna vitu wanatofautiana.

na hii inatokana na kuwa kuna baadhi ya watu huwa wanatambulika kirahisi kwa lafudhi au costumes (kama wamasai) lakini Je, hao ambao lafudhi zao hazikutambulika hawana makabila?..unaweza kukuta mtu kakaa kwenye mkusanyiko wa watu 500, then pembeni yake kuna wasukuma 8 wanachapa kisukuma..akitoka hapo utamsikia.."Duh! pale walikuwa wamejaa wasukuma watupu!!! wasukuma watupu?????? ujinga mtupu
 
Wahaya ni watani wangu .... ng'amua

Everything done in the spirit of utani wa kikabila should be considered as utani wa kikabila....Kauli yangu ilimaanisha kuwa uchambuzi wako ni wa mtu mwenye I.Q ya maana..na kwa kuwa sisi wahaya ndo wenye akili kuliko vizazi vingine basi wewe naona ni mhaya kwa kweli!...infwact I am right and asikatae

Karibu mtani
 
Ya hii ipo mkuu, kuzaliwa pamoja ktk familia sio rahisi mfanane tabia, ila kikabila ipo japo si lazima wote wa kabila hilo wawe hivo, ila wengi wao huwa sawa kwa tabia fulani zinazo aminika kuwa za kabila hilo. mfano:

Wachaga - Bahili (embu wewe mwenyewe thibitisha hili) iko hivyo fuatilia tu utaona + tabia zingine
Wakurya - Ukorofi
Masai - ........
Wahaya - malaya (ni true wengi wako hivyo)
Zaramo - umbea na mipasho + tabia zingine
Waha - Wakarimu
Wasukuma -
Wabena na Wahehe - roho mbaya + nyingine

Nadhani pia vinarithishwa automatically tu. Sorry ni katika kujibu tu, isiwe vita sijadili kabila la mtu hapa.

Me naongeza
Wachaga-bahiri na wapenda sana fedha
Wabena na Wahehe-wachawi pia
Wasafa na wakinga -wachawi hatareeeee
Wahaya -nyodo hatare
Wasukuma-wana heshima sana na katika kaz ni watendaji angalau wapigaji pia.....
Kama nimekuudhi nisamehe,ni maoni yangu tu
 
Back
Top Bottom