Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Wanasemaga Kigoma mwisho wa reli

Kuna Route ndefu kutoka Dar kwenda mikoa mingine kuliko Karagwe kweli! Naona ni balaa parefu halafu basi lipo moja tu City boy
Route ndefu kutoka Dar to Kigoma mzee trein siku tatu basi siku moja na nusu ukipita uko kama kahama ndio kabisa unasahau kua uko na safari ya kwenda kigoma unakaa mpk makalio sugu inatanda ganzi ndio usiseme 😂😂🙌
 
Kuna sehemu Ukienda mpaka unajiuliza hivi bidhaa huku zinafikaje?
Mimi Dar - Musoma nilikaa kwenye siti mpka nikaamka kupumzika,
Ina sound kama utani lakini ndio ilivyokua, Mpaka miguu inawasha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom