Nataka kujua hii kitu, kwani kuna mtu kaletwa ofisini anavuta sigara kila mara chooni mpaka na muonea huruma sana.
Kuna mwingine nilikutana naye semina (officer kabisa tena smart) anakula ugoro balah chooni na kutema tema mate kweli.
Mwingine kila siku akitoka kazini upita pale opp mango na kula/kuvuta shisha.
SASA HIVI;~
~ Kuna raha gani ya kuvuta sigara
~ Hivi shisha ni mchanganyiko wa nini, simpendi mtu anayevuta.
Haina madhara kiafya kweli?
lakini unautangaza kabisa huo ugoroNataka kujua hii kitu, kwani kuna mtu kaletwa ofisini anavuta sigara kila mara chooni mpaka na muonea huruma sana.
Kuna mwingine nilikutana naye semina (officer kabisa tena smart) anakula ugoro balah chooni na kutema tema mate kweli.
Mwingine kila siku akitoka kazini upita pale opp mango na kula/kuvuta shisha.
SASA HIVI;~
~ Kuna raha gani ya kuvuta sigara
~ Hivi shisha ni mchanganyiko wa nini, simpendi mtu anayevuta.