Hivi kuna Raha Gani Ya Kuvuta Sigara Na Shisha.

frema120

JF-Expert Member
Jan 1, 2012
5,099
1,337
Nataka kujua hii kitu, kwani kuna mtu kaletwa ofisini anavuta sigara kila mara chooni mpaka na muonea huruma sana.

Kuna mwingine nilikutana naye semina (officer kabisa tena smart) anakula ugoro balah chooni na kutema tema mate kweli.

Mwingine kila siku akitoka kazini upita pale opp mango na kula/kuvuta shisha.

SASA HIVI;~
~ Kuna raha gani ya kuvuta sigara
~ Hivi shisha ni mchanganyiko wa nini, simpendi mtu anayevuta.
 
Nataka kujua hii kitu, kwani kuna mtu kaletwa ofisini anavuta sigara kila mara chooni mpaka na muonea huruma sana.

Kuna mwingine nilikutana naye semina (officer kabisa tena smart) anakula ugoro balah chooni na kutema tema mate kweli.

Mwingine kila siku akitoka kazini upita pale opp mango na kula/kuvuta shisha.

SASA HIVI;~
~ Kuna raha gani ya kuvuta sigara
~ Hivi shisha ni mchanganyiko wa nini, simpendi mtu anayevuta.

Wewe utakuwa wa jinsia ya ke .
 
kuna siku nlimuliza mvuta sigara aliniambia sigara inamsaidia kupunguza baridi ndani ya mwili wake
 
upo hapo?
 

Attachments

  • 1400693434508.jpg
    1400693434508.jpg
    9.1 KB · Views: 225
Nataka kujua hii kitu, kwani kuna mtu kaletwa ofisini anavuta sigara kila mara chooni mpaka na muonea huruma sana.
Kuna mwingine nilikutana naye semina (officer kabisa tena smart) anakula ugoro balah chooni na kutema tema mate kweli.
Mwingine kila siku akitoka kazini upita pale opp mango na kula/kuvuta shisha.
SASA HIVI;~
~ Kuna raha gani ya kuvuta sigara
~ Hivi shisha ni mchanganyiko wa nini, simpendi mtu anayevuta.
lakini unautangaza kabisa huo ugoro
frema120
-cA6wWvIlggdN07MDrHpxOCXGdmF82WrU5NE8UUwWI_diY_JR0QSALk4OmSg-cuRP9630w=s113
 
shisha ina nguvu sana zaidi ya sigara, wajinga wanaiga sababu wanaona kwenye tv watu wanatumia, hakuna raha yoyote kwenye smoking sema walio addicted kuacha inahitaji umuue afu umfufue.. kuna jamaa moja chuo nlichosoma mwaka jana alikua anavuta shisha balaa kamedhohofika mwili ukikasukuma kanaenda, nliingia room yake sekunde 30 kichwa kiliuma masaa ile harufu tu..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom