Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
hi wana jf? hii wizara ya elimu mbona hawatoi maelezo yoyote kuhusu lini itaajiri walimu wapya? watu watunakaa mtaani bila kazi waseme kama vipi watu tukatafute kwingine kwa mfano walimu wa mwaka jana waliajiriwa mwaka huu,walikaa mwaka mzima mtaani