Hivi kuna nini?

Mr.creative

JF-Expert Member
Aug 8, 2011
492
117
hi wana jf? hii wizara ya elimu mbona hawatoi maelezo yoyote kuhusu lini itaajiri walimu wapya? watu watunakaa mtaani bila kazi waseme kama vipi watu tukatafute kwingine kwa mfano walimu wa mwaka jana waliajiriwa mwaka huu,walikaa mwaka mzima mtaani
 
Bajeti imefika kikomo. Serikali inashughulikia kwanza swala la umeme, ajira baadae.
 
Back
Top Bottom