Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
Familia za kichovu hakunaga honey moon, ukute harusi umeandaa mwenyewe, asubuhi wazee wanataka kusafirishwa ndugu wa mke uwape mafuta warudi kwao, harusi imeisha kuna deni la mc sijui mpiga picha, aki hio ni kulala nje ya geto tu yaani.Honeymoon ni Kufahamiana vizuri, kufanya evaluation ya harusi yenu iĺikuaje mlienjoy nini zaidi, kupanga maisha what's next sasa maana sherehe ishaisha na mmepewa cheti kabla ya mitihani. Na last important thing ni mikito tu mkiamka mnaamka na morning glory ya nguvu, mkipata break fast mnaendelea na mikito, after lunch mikito, after dinner sasa ni mikito mnaunganisha hadi asubuhi morning glory tena na kuendelea yaani mnafidia vile vya wizi wizi vyote mlivokua mnavifanya maana mko free sasa hadi maji yaitwe mma na kufuke moshi na mkirudi home bibie anahesabu siku tu za kwenda maternity leave ya twins
Ila vacation ni ile tu mnatoka kwenda kutalii somewhere mfano baada ya harusi huko mko na familia ama mtu na babe wake tu, mikito itakuwepo pia ila ya honey moon ndiyo inakua imepaniwa zaidi. Understood?Do i need to clarify more?
Watoto wa kushua ndo wanakuaga na hio kitu