my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Hivi honeymoon inakuwaga tofauti na vacation za kawaida ambazo wapendanao wanaendaga? Au haina tofauti zote sawa?
Hongera ya nini sasa ππ€Hongera sana,raha ya honeymoon urudi na mimba.
πππππππππππ πππ£πππ π£ππππ.
πΊπ πππππ π πππ πππππ πππππππ πππππ π’π πππππππ πππππ π£π ππππππ π ππππππ ππ ππππππππππ πππ£πππ πππππ ππ π’ππ!
Honeymoon ni Kufahamiana vizuri, kufanya evaluation ya harusi yenu iΔΊikuaje mlienjoy nini zaidi, kupanga maisha what's next sasa maana sherehe ishaisha na mmepewa cheti kabla ya mitihani. Na last important thing ni mikito tu mkiamka mnaamka na morning glory ya nguvu, mkipata break fast mnaendelea na mikito, after lunch mikito, after dinner sasa ni mikito mnaunganisha hadi asubuhi morning glory tena na kuendelea yaani mnafidia vile vya wizi wizi vyote mlivokua mnavifanya maana mko free sasa hadi maji yaitwe mma na kufuke moshi na mkirudi home bibie anahesabu siku tu za kwenda maternity leave ya twins
Ila vacation ni ile tu mnatoka kwenda kutalii somewhere mfano baada ya harusi huko mko na familia ama mtu na babe wake tu, mikito itakuwepo pia ila ya honey moon ndiyo inakua imepaniwa zaidi. Understood?Do i need to clarify more?
Honeymoon ni Kufahamiana vizuri, kufanya evaluation ya harusi yenu iΔΊikuaje mlienjoy nini zaidi, kupanga maisha what's next sasa maana sherehe ishaisha na mmepewa cheti kabla ya mitihani. Na last important thing ni mikito tu mkiamka mnaamka na morning glory ya nguvu, mkipata break fast mnaendelea na mikito, after lunch mikito, after dinner sasa ni mikito mnaunganisha hadi asubuhi morning glory tena na kuendelea yaani mnafidia vile vya wizi wizi vyote mlivokua mnavifanya maana mko free sasaπ hadi maji yaitwe mma na kufuke moshi na mkirudi home bibie anahesabu siku tu za kwenda maternity leave ya twinsπ
Ila vacation ni ile tu mnatoka kwenda kutalii somewhere mfano baada ya harusi huko mko na familia ama mtu na babe wake tu, mikito itakuwepo pia ila ya honey moon ndiyo inakua imepaniwa zaidi. Understood?Do i need to clarify more?
Yaani umeelewa hapo tu mkuuππ"hadi maji yaitwe mma na kufuke moshi" mwisho wa kunukuu.
UNDERSTOOD.
Nishawahi kuwa mkuu, nikaona hailipi nikaachaπUnafaa kua kungwi
Sasa mkuu financial services kwanini umekua kwenye mambo ya fwedha si ungekua tu mambo ya malavidavi eti mpaka kufuke moshi yan unasugua mpaka usikie mucosal lining inanukia mpiraHoneymoon ni Kufahamiana vizuri, kufanya evaluation ya harusi yenu iΔΊikuaje mlienjoy nini zaidi, kupanga maisha what's next sasa maana sherehe ishaisha na mmepewa cheti kabla ya mitihani. Na last important thing ni mikito tu mkiamka mnaamka na morning glory ya nguvu, mkipata break fast mnaendelea na mikito, after lunch mikito, after dinner sasa ni mikito mnaunganisha hadi asubuhi morning glory tena na kuendelea yaani mnafidia vile vya wizi wizi vyote mlivokua mnavifanya maana mko free sasaπ hadi maji yaitwe mma na kufuke moshi na mkirudi home bibie anahesabu siku tu za kwenda maternity leave ya twinsπ
Ila vacation ni ile tu mnatoka kwenda kutalii somewhere mfano baada ya harusi huko mko na familia ama mtu na babe wake tu, mikito itakuwepo pia ila ya honey moon ndiyo inakua imepaniwa zaidi. Understood?Do i need to clarify more?
Yaani umeelewa hapo tu mkuuππ