britanicca
Platinum Member
- May 20, 2015
- 18,063
- 47,048
Basi kama umeandika kwakuwa umelewa hakuna shida.Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu
Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo
Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john
Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa
Hawatongozwi sana[emoji23][emoji23][emoji23],hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Kuna group fulani linaitwa makapuku Kuna pisi kali kweli yaan [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu
Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo
Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john
Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa
mbona ww una akili[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23],hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Mungu akupi vyote na wala hakunyimi vyote.[emoji23][emoji23][emoji23],hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Hawatongozwi sana
Mimi nina sura ngumu
KumbeMungu akupi vyote na wala hakunyimi vyote.
Mti wenye matunda.
Wanakuwa wametumwa na vijiji[emoji23][emoji23][emoji23],hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Uwiiii kumbe mi mzuriii? Sijawahi ambiwa ati mi mremboo
Sasa unabishana na mimi au wewe ndo uliniumba?