The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Uchumi wake atakuwa ameukaliaUkimkuta maskini basi hajui kuitumia mbunye yake vizuri
Uchumi wake atakuwa ameukaliaUkimkuta maskini basi hajui kuitumia mbunye yake vizuri
teh teh teh ukiingia facebook kila mtu kamaliza chuo kikuu tena UDSM aise hatari tupu duuuuMkuu hapa umenifurahisha...Kuna demu Kasoma computer kozi mwezi mmoja pale ucc nimeona kwenye Facebook profile ame update...studied at the University of Dar es Salaam...
Vipi mkuu unamshauri aitafune hio smartphone?!Hujala halafu una smartphone una akili wewe.!
Huko facebook hamna waliosoma US/UK/SA/INDIA?!teh teh teh ukiingia facebook kila mtu kamaliza chuo kikuu tena UDSM aise hatari tupu duuuu
watakuwepo lakini wengi wao wamemaliza vyuo vya hapa bongo mkuuHuko facebook hamna waliosoma US/UK/SA/INDIA?!
Nashangaa huyu..Una uhakika wanawake wote mjini matajiri???
Wacha wee... Hebu nipe maujanja nitokeje..Mwanamke akiwa maskini, uzembe wake....
YallllaaaahMkuu hapa umenifurahisha...Kuna demu Kasoma computer kozi mwezi mmoja pale ucc nimeona kwenye Facebook profile ame update...studied at the University of Dar es Salaam...
Smart phone ni chakula siku izi etHujala halafu una smartphone una akili wewe.!
Mkuu hawezi kumiliki smartphone alafu Huna hela ya kula....utakuwa ni ujinga huoSmart phone ni chakula siku izi et
Auze anunue msosi au aweke hata bondi buku mbili hakosi ya kula sio kulialia tu hapa jf hapa stori 2 mkuu.Vipi mkuu unamshauri aitafune hio smartphone?!
Duu kweli wanawake mwalimu wenu kipofu smartphone ina milo mingapi akiiuza eti nambie tena na msingj wa biashara ndogondogo anapata sio kulialia hapa jf.Smart phone ni chakula siku izi et
Hii ni kutokana na uzoefu au!?Wanawake wote mjini ni matajiri, hakuna maskini;
Wote wanakula zile sehemu za hali ya juu hakuna anayekula kwenye mabanda ya mama ntilie.
Akiagiza kitu lazima atatoa oda kwa vile vitu ambavyo ni vya bei ya ghali kabisa kwenye menu.
Dp zao zote ni either wanaendesha magari, wapo kwenye ndege, mwendokasi au wakifanya shoping.
Hakuna mwanamke mwenye simu ya kitochi.
Hakuna mwanamke wa mjini asiyejua kingereza.
WAKATI HUO HUO:
Hakuna mwenye nywele halisi; wote wana mawigi 99%.
Hakuna mwenye kucha halisi.
Hakuna mwenye kope halisi.
Hakuna mwenye ngozi halisi.
Hakuna mwenye mapenzi ya kweli.
Juzi nliona dp yako ya wasapu umeongeza gari nyingine....mpya.Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii