Hivi kuna mtu kutoka Serikalini au CCM ambae keshamjibu Balozi Polepole

Hivi kuna mtu kutoka Serikalini au CCM ambae keshamjibu Balozi Polepole

Salaama wanjamvi

Napenda kujuzwa kama Balozi Polepole amejibiwa kivyovyote vile na mtu/kiongozi kutoka Serikalini au chama CCM na kama ndio tupia hapa mambo kwa ushahidi

Asantenwa
Watu wako bize na kuongoza nchi hawawezi kusumbuliwa kujibu mtu asiejielewa. Amekuwa popo haikulikani ni ndege au Mnyama. Pole pole wa wakati wa Regime ya Magufuli ni tofauti na Pole pole huyu.
Huyu tunamuachia kina Kibajaji tu na Msukuma wataruka nae.
Wananchi wanahitaji maendeleo toka kwa viongozi wao na viongozi makini can never be derailed.
Kama anahoja anaweza kufanya mambo 2..kuandaa hoja kuomba Mkutano Mkuu aeleze hizo porojo zake au aende Mahakamani...otherwise OKTOBA TUNA TIKI
 
Watu wako bize na kuongoza nchi hawawezi kusumbuliwa kujibu mtu asiejielewa. Amekuwa popo haikulikani ni ndege au Mnyama. Pole pole wa wakati wa Regime ya Magufuli ni tofauti na Pole pole huyu.
Huyu tunamuachia kina Kibajaji tu na Msukuma wataruka nae.
Wananchi wanahitaji maendeleo toka kwa viongozi wao na viongozi makini can never be derailed.
Kama anahoja anaweza kufanya mambo 2..kuandaa hoja kuomba Mkutano Mkuu aeleze hizo porojo zake au aende Mahakamani...otherwise OKTOBA TUNA TIKI
Mkuu kwa hiyo ndiyo kusema ile issue ya mtandao kukosekana jana kote nchini kumbe ilikuwa hitilafu ya kawaida tu, wala haikuwa na uhusiano na press ya Polepole maana jamaa hana impact yoyote?
 
Salaama wanjamvi

Napenda kujuzwa kama Balozi Polepole amejibiwa kivyovyote vile na mtu/kiongozi kutoka Serikalini au chama CCM na kama ndio tupia hapa mambo kwa ushahidi

Asanteni
Hata Gwajima angeongea kipindi bunge limevunjwa hakuna kelele tungeisikia,hata saivi yeyote akiongea jambo wale wajinga waliotuita kenge hawana sauti maana wakiwaga bungeni ndio wanakuaga kama wanafunzi wa std 3 a!
 
Salaama wanjamvi

Napenda kujuzwa kama Balozi Polepole amejibiwa kivyovyote vile na mtu/kiongozi kutoka Serikalini au chama CCM na kama ndio tupia hapa mambo kwa ushahidi

Asanteni
Wataanzia wapi
 
Wanaanzia wapi sasa? Nani anataka kukaa upande mbaya wa Polepole ikiwa the Kingmaker Msoga aneogopewa na kila mtu kapewa za uso live.
 
Ndiyo maana Lucas yuko kimya anajua jumba bovu alilotikisa linaenda kumwangukia,uchawa mbaya sana
Anasoma alama za nyakati.

Asivyo na haya usishangae kesho akaja na uzi wa mapambio ya Polepole🤣
 
Salaama wanjamvi

Napenda kujuzwa kama Balozi Polepole amejibiwa kivyovyote vile na mtu/kiongozi kutoka Serikalini au chama CCM na kama ndio tupia hapa mambo kwa ushahidi

Asanteni
Kwani kaongea nini Hadi ajibiwe?!!!
Alitaka bifu mserereko wajanja wamemkwepa.......of course atakuwa dealt with muda muafaka ukifika.
 
Back
Top Bottom