![]()
![]()
Kuna marekebisho
Hakuna makerebisho kuna mgao usio julikana binafsi natumia line tofauti kazini na nyumbani lkn mara nyumbani upo kazini hamna
Hiku Mbeya unakatika sana. Unakwamisha sana shughuli. Lakini ni kawaida kwa kiangazi. Tushukuru tu mvua ipo karibu. Viwanda hata umeme wa kuwasha laptop haupo!!!!
Mkuu ni kweli mtwara hapa hatari sana siku mbili hizi wamezidi wanakata asubuhi wanarudisha usiku mkali.Huku Mtwara ndo balaa. Unakatika kila mara
Not for sell mkuumzee niuzie tV
Ni 2 weeks now Mkuu. Yaani hapafai. Mtaa ninaofanyia kazi wa Tandika ndo balaaMkuu ni kweli mtwara hapa hatari sana siku mbili hizi wamezidi wanakata asubuhi wanarudisha usiku mkali.
Kwenu Hakuna jina??Habari wandugu?
Samahani naomba kuuliza kwa anayejua,
Hivi mgao wa Umeme umeanza tena?
Maana sielewi, tangu Baraza la Mawaziri lifanyiwe marekebisho huku kwetu Umeme unakatika kila siku Kuanzia SAA 12 JIONI hadi SAA 5 USIKU.
Hebu tujulishane kama na huko kwenu hali ni kama huku.
Hatari sana huku kwetu kiyangu leo tangia saa 12 asubuhi wamewasha saa 2 usiku, juzi waliwasha saa 5 usiku.Ni 2 weeks now Mkuu. Yaani hapafai. Mtaa ninaofanyia kazi wa Tandika ndo balaa
Mitaa ya Raha leo wanapata vizuri tu. Sijui tatizo ni nini mitaa mingine umeme hakuna kabisaHatari sana huku kwetu kiyangu leo tangia saa 12 asubuhi wamewasha saa 2 usiku, juzi waliwasha saa 5 usiku.
Duuh...!! Mkuu sasa hawa ndugu zetu Tanesco mtwara wameshindwa kututaarifu tujiandae kisaikolojia kabisa maana hii inaonekana shida endelevu.Mtwara na Lindi mgao wa umeme umeanza rasmi leo baada ya majenerata 7 kati ya 9 yanayozalisha umeme wa gasi asilia kuharibika. Tanesco wanasema matengenezo yatakamilika mwaka kesho mwezi wa kwanza.
Mtwara na Lindi mgao wa umeme umeanza rasmi leo baada ya majenerata 7 kati ya 9 yanayozalisha umeme wa gasi asilia kuharibika. Tanesco wanasema matengenezo yatakamilika mwaka kesho mwezi wa kwanza.