Hivi kuna mgao wa Umeme?

Hivi kuna mgao wa Umeme?

b191

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
742
Reaction score
1,032
Habari wandugu?

Samahani naomba kuuliza kwa anayejua,

Hivi mgao wa Umeme umeanza tena?

Maana sielewi, tangu Baraza la Mawaziri lifanyiwe marekebisho huku kwetu Umeme unakatika kila siku Kuanzia SAA 12 JIONI hadi SAA 5 USIKU.

Hebu tujulishane kama na huko kwenu hali ni kama huku.
 
Kanda ya kati Mkuu
Poleni sana mkuu. Inawezekana kuna marekebisho yanafanyika. Hata maeneo kadhaa ya Dar umeme huwa unakatika mara kwa mara, lakini sio kwa muda mrefu kwa kiasi hicho ulichoeleza hapo awali.
 
Mgao upo, lakini ni SIRI. Hutakiwi kusema kama upo. Ukiwa nao leo, jua kesho unakatika kwa zaidi ya masaa 10.
 
Mkuu sidhani kama kuna marekebisho, maana kila siku the same time Umeme unakatika na kururdi at the same time.

Seriously tangu marekebisha ya Baraza la Mawaziri yafanyike na haka kamchezo ndo kameanza hadi Leo hii.


Poleni sana mkuu. Inawezekana kuna marekebisho yanafanyika. Hata maeneo kadhaa ya Dar umeme huwa unakatika mara kwa mara, lakini sio kwa muda mrefu kwa kiasi hicho ulichoeleza hapo awali.
 
Mgao upo, lakini ni SIRI. Hutakiwi kusema kama upo. Ukiwa nao leo, jua kesho unakatika kwa zaidi ya masaa 10.
Asante kwa taarifa. Lakini mbona TANESCO wapo kimya?
 
Mkuu sidhani kama kuna marekebisho, maana kila siku the same time Umeme unakatika na kururdi at the same time.

Seriously tangu marekebisha ya Baraza la Mawaziri yafanyike na haka kamchezo ndo kameanza hadi Leo hii.
Je kuna uhusiano gani na marekebisho ya baraza la mawaziri mkuu?
 
Hata huku mbeya kuna mgao mkali hadi mara tatu kwa siku!
 
07b50f5104f3f36dc9b00460a88febfc.jpg
e45a65c4b6fe5d4697d06edb10538c23.jpg


Kuna marekebisho
 
Hakuna makerebisho kuna mgao usio julikana binafsi natumia line tofauti kazini na nyumbani lkn mara nyumbani upo kazini hamna
 
Karibia wiki hii yote maeneo ya Ilala tena mpaka kwa ofisi ya mkuu wetu Makonda umeme nao umekatika wiki hii yote,Kuondoka kwa Mzee Muhongo kunachangia sana huu mgao kuwepo kwani jamaa alikuwa mkali sana kwa mameneja wote wa Tanesco
 
Ni balaaa. Mpaka unatamani siku ziishe urudi mjini Kibaha uendelee na issues nyingine. Ndo mwanzo wa kupoteza wateja kwa sisi Technicians wa kujitegemea
Ukosefu wa umeme unasababisha usumbufu mkubwa sana katika kila sekta mkuu. Pole na hizo changamoto.
 
Back
Top Bottom