kwa mwanamke kuna dawa ya kuongeza hamu ya kufanya sex au nini kifanyike kama hamu huna kabisa?
Nina hakika kila mtu amezaliwa na since za kumufanya asikie hamu ya kila kitu, kuanzia kula na hata kwenye tendo lenyewe ila tofauti ya mtu na mtu ni wapi ambapo mtu anapata ule mtekenyo wa kumfanya apate ile hamu! Yawezekana wewe mwenyewe hujajifahamu ni wapi ukiguswa unapata ile ashiki au mpenzi waku anakurupuka tu bina kukuandaa (Yaani anafanya mapenzi kwa mazoea ya kulenga tundu tu) Jitafiti kwanza mwenyewe.
asante kwa ushauri lakini mbona wakati wa nyuma nilikuwa na enjoy tu,sehemu za mtekenyo anazijua ila siku hizi akinishika si feel kitu?
Jaribuni kubadilisha mazingira yakufanyia tendo,
Astakafilalah!! kitu t??
Astakafilalah!! kitu t??
Hahaa you quote me wrong, i mean they should change the environment sometimes