Dnmunisi
Member
- Nov 11, 2020
- 18
- 16
Wakuu mimi nina rafiki yangu tulikuaga mabest sana advance lakini tulivyorudi mtaani kila mtu na mishe zake hakuna anayemtafuta mwenzake imetokea tupo nae chuo kimoja sema kozi tofauti ila ukaribu wetu sio sanaa tena kama kipindi kile tukiwa advance. Sasa inanitokea mara nyingi ninakuwa namuota na wala ata sio kwamba namuwaza saana wala nini.
Mwenye maoni apo anisaidie jamani
Mwenye maoni apo anisaidie jamani