Wix86
Member
- Feb 14, 2020
- 68
- 215
Wakuu kuanzia mwaka jana jana nilikuwa na changamoto kubwa ya kipato, kufikia mwezi wa nne nilipata dili ambayo ilihitaji hela ndefu kidogo, ikabidi niuze gari yangu!
Sasa toka hiyo April naona kabisa kuna kitu kinamiss ila najikaza tu, hapa ndo nimekuja kuelewa gari ni hitaji la msingi , hata kama hutoki nalo basi liwepo tu! Usipokuwa na gari kuna kuchukuliana poa kiboya sana.
Ila siyo mbaya, nshaagiza lingine october mwanzoni chuma kinafika, angalau heshima irudi mahala pake tena!
Sasa toka hiyo April naona kabisa kuna kitu kinamiss ila najikaza tu, hapa ndo nimekuja kuelewa gari ni hitaji la msingi , hata kama hutoki nalo basi liwepo tu! Usipokuwa na gari kuna kuchukuliana poa kiboya sana.
Ila siyo mbaya, nshaagiza lingine october mwanzoni chuma kinafika, angalau heshima irudi mahala pake tena!
