Elections 2010 Hivi Kumbe Kweli Wabunge Waliobebwa Kanuni ya Bunge Ilivunjwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mtu wa Mungu

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
444
19
Source: Tanzania Daima Alhamisi, Novemba 18.2010

Hapa bunge la JYT lilikuwa linachagua wabunge wa Bunge la SADC. Kwa mgombea wa sisiemu kutokujadiliwa, kuulizwa maswali, na hatimaye kupigiwa ni kuvunja kanuni za Bunge.
Kumbe kwa kanuni hizo hizo wabunge 19 wa sisemu waliobebwa bila kujinadi kwa wapiga kura, kuulizwa maswali, na hatimaye kupigiwa kura ni kuvunja kanuni za Bunge!!!!

Kumbe ndiyo maana Rev Chris Mtikila anajiandaa kuwashitaki wabunge 19 wa sisemu waliobebwa kwa kuvunja katiba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama kwa uchaguzi wa wabunge wa SADC kanuni (sheria) zilivunjwa, iweje kwa wabunge wa Bunge la JYT kubebwa wabunge 19 siyo kuvunja sheria??????????????????/
 

Mtu wa Mungu

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
444
19
Mpaka kieleweke!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kina Mnyika , Zito Kabwe mnapocharuka huko bungeni kwa Naibu Spika kumbeba Sophia Simba kwa Bunge la SADC, na sisi wapigakura katika uchaguzi mkuu wa 31.10.2010 tuna haki ya kucharuka kwa mujibu wa kanuni hizo hizo mpaka kieleweke!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

dotto

JF-Expert Member
Sep 29, 2010
1,725
252
Katiba TAnganyika Mfu Mfirisi. Tuna karatasi sio Katiba. Ndo maana hata wanaosema katiba hawaitekelezi.
 

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
source: tanzania daima alhamisi, novemba 18.2010

hapa bunge la jyt lilikuwa linachagua wabunge wa bunge la sadc. Kwa mgombea wa sisiemu kutokujadiliwa, kuulizwa maswali, na hatimaye kupigiwa ni kuvunja kanuni za bunge.
Kumbe kwa kanuni hizo hizo wabunge 19 wa sisemu waliobebwa bila kujinadi kwa wapiga kura, kuulizwa maswali, na hatimaye kupigiwa kura ni kuvunja kanuni za bunge!!!!

kumbe ndiyo maana rev chris mtikila anajiandaa kuwashitaki wabunge 19 wa sisemu waliobebwa kwa kuvunja katiba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kama kwa uchaguzi wa wabunge wa sadc kanuni (sheria) zilivunjwa, iweje kwa wabunge wa bunge la jyt kubebwa wabunge 19 siyo kuvunja sheria??????????????????/
source please?
 

myhem

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
933
357
Ndo maana mafisadi walimfuata makinda agombee uspika ili aje awalinde.
Mmesahau kuwa sophia simba ni mmoja wa watetezi wakubwa wa mafisadi?
Huo ni mwanzo tu kwani mtayaona mengi kwa spika huyu.
 

myhem

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
933
357
Ndo maana mafisadi walimfuata makinda agombee uspika ili aje awalinde.
Mmesahau kuwa sophia simba ni mmoja wa watetezi wakubwa wa mafisadi?
Huo ni mwanzo tu kwani mtayaona mengi kwa spika huyu.
 

Lorah

JF-Expert Member
Aug 22, 2008
1,193
202
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani sasa na huyo waziri Mkubwa si atakuwa sio RIZIKI kama mkiendelea na hayaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Kachest

Senior Member
Nov 6, 2010
191
19
Kama wameweza kuchakachua akili za wapiga kura itakuwa kubeba wabunge, habari hiyo tujiandae kwa lolote
 

Donyongijape

JF-Expert Member
May 28, 2010
1,497
810
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani sasa na huyo waziri Mkubwa si atakuwa sio RIZIKI kama mkiendelea na hayaaaaaaaaa

Kimsingi Spika wa bunge na waziri mkuu wote hawaruki kihunzi_mimi inaniuma sana,hawa jamaa walichaguliwa na watu wenye kadi za ccm pekee tena bila kujali km wamejiandikisha au wametimiza masharti ya kupiga kura,iweje wawakilishe jimbo? Kumbuka wengne walipita kwa kura chache sana,je ile asilimia kubwa iliyobaki haikuwa na haki ya kuchagua as we knw tusio na vyama ni wengi? Ninavyojua mimi kulingana na katiba ili uwe kiongoz lazima uchaguliwe au uteuliwe na kiongoz aliyechaguliwa..hebu niambie pinda,makinda na wenzao nani kawachagua au kuwateua kuwa wabunge?..wamemwaga sera zao kwa wana ccm ili wawakilishe km wagombea na siyo wananchi,jiulize wapo responsible kwa nani,wananch wa majimbo yao au chama chao? jiulize km kikwete asingepata mpinzani kwenye uraisi tungemwapisha tu moja kwa moja bila ku2ambia atatufanyia nini next five years?
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom