Hivi "kiu" Mzumbe university bado ipo?

Aine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,603
488
Kwa wale waliosoma chuo kikuu cha Mzumbe, kuna kitu kinaitwa "KIU" ni utani flani ambao unafurahisha sana espcially kama hakuna matusi
Sijui kiu inaendelea au imakufaa, wana MU mpoooooooooo??
 
Kiu mzumbe haipo tena-walikuja kuipiga stop wakawa wanatishia kuwafukuza watu watakao kuwa wanakata kiu-
walitafuta vibaraka within wanafunzi ambao walikuwa wakipeleka majina ya wakata kiu kwa uongozi wa chuo,kwa hio hali ilikuwa ngumu kidogo maana hata ukate kiu saa tisa usiku,bado kuna anonymous watakuona tu na kupeleka jina lako-
so hii ilipunguza sana kasi ya kiu-watu wakaogopa-
kiu ilifikia patamu maana kuna makundi ya wboys walikuwa wanaenda girls' hostesl usiku na kuwapa "somo" la kutosha,pamoja na walimu wao-nazan uongozi uliona kuwa ukizembea hali itakuja kuwa mbaya
 
Kwa wale waliosoma chuo kikuu cha Mzumbe, kuna kitu kinaitwa "KIU" ni utani flani ambao unafurahisha sana espcially kama hakuna matusi
Sijui kiu inaendelea au imakufaa, wana MU mpoooooooooo??

Inafuhaisha kama haikuhusu, usiombe uwe ndio mlengwa wa kiu yenyewe unaweza kuhama chuo.
 
dah, kiu ilipigwa mzumbe mbeya campus..mtu mzima father of the holly land, incognito insebie mid reses esterepe..watu kidogo wajinyonge, maana ilichafua masista du, masharobaro..ikabidi walimu waingilie kati na kudai watafukuza watu, hapo ndipo ikapotea lkn ilikuwa fundisha...
 
Huo ushamba 2,utafatiliaje maisha ya m2 ilihali humgaramikii kwa chochote,udsm hakukua na ujnga ka huo.
 
Kiu ilikuwa nzur,matuc ndo chany cha kupgwa marufuku,ingawa kuna nyakat inapgwa,kuna jamaa ana kesi ya kiu
 
Kiu mzumbe haipo tena-walikuja kuipiga stop wakawa wanatishia kuwafukuza watu watakao kuwa wanakata kiu-
walitafuta vibaraka within wanafunzi ambao walikuwa wakipeleka majina ya wakata kiu kwa uongozi wa chuo,kwa hio hali ilikuwa ngumu kidogo maana hata ukate kiu saa tisa usiku,bado kuna anonymous watakuona tu na kupeleka jina lako-
so hii ilipunguza sana kasi ya kiu-watu wakaogopa-
kiu ilifikia patamu maana kuna makundi ya wboys walikuwa wanaenda girls' hostesl usiku na kuwapa "somo" la kutosha,pamoja na walimu wao-nazan uongozi uliona kuwa ukizembea hali itakuja kuwa mbaya

Kweli waliopo sasa wanamiss saana kiu jamani ilikuwa unafurahisha saaana
 
Kiu ilikuwa nzur,matuc ndo chany cha kupgwa marufuku,ingawa kuna nyakat inapgwa,kuna jamaa ana kesi ya kiu
Kiukweli kiu ilikuwa nzuri sana unakumbuka kiu ya kichinaaaaaa!!!!!!!!!!
 
Usiombe kipindi kule kuwa na test NAH halafu Mkwawa wanakata Kiu kama walevi...I miss MU ya Warioba, Kuzilwa kaigeuza shule ya msingi.
nakumbuka tulikuwa tukifanya test usiku NAH-saa 3 hivi usiku-vijana wa mkwawa na kwingineko wakajisogeza pembeni,na wasichana wa kinje,yaan ilikuwa ni balaa-maana unafanya test huku unacheka-hadi mwalim nae inabid acheke tu-kipindi hicho NAH hakuna viti kama ilivyo sasa-kabla ya test ni kuhangaika kutafuta meza na kiti, wwe menyewe
 
nakumbuka tulikuwa tukifanya test usiku NAH-saa 3 hivi usiku-vijana wa mkwawa na kwingineko wakajisogeza pembeni,na wasichana wa kinje,yaan ilikuwa ni balaa-maana unafanya test huku unacheka-hadi mwalim nae inabid acheke tu-kipindi hicho NAH hakuna viti kama ilivyo sasa-kabla ya test ni kuhangaika kutafuta meza na kiti, wwe menyewe
Yaani ikiwa NAH nkicheko na test lazima viendane wakati wa test, ni burudani tu we acha tu
 
nakumbuka tulikuwa tukifanya test usiku NAH-saa 3 hivi usiku-vijana wa mkwawa na kwingineko wakajisogeza pembeni,na wasichana wa kinje,yaan ilikuwa ni balaa-maana unafanya test huku unacheka-hadi mwalim nae inabid acheke tu-kipindi hicho NAH hakuna viti kama ilivyo sasa-kabla ya test ni kuhangaika kutafuta meza na kiti, wwe menyewe

Mwenye kimini ana migi mwenye kimini ana migi.... hapo kijiji kizima mnahaha mashine isije ikahamisha mkabaki kizani.
 
KIU ilikuwa inatoa mafundisho na kurekebisha tabia chafu za baadhi ya watu ambao walijua hawaonekani wakiwa wanafanya uchafu wao.It was good kuna midada ilikuwa 3rd year mwaka 2003 walikuwa wanakata kiu kama sikosei walikuwa BBA wale majimama haswa
 
nakumbuka tulikuwa tukifanya test usiku NAH-saa 3 hivi usiku-vijana wa mkwawa na kwingineko wakajisogeza pembeni,na wasichana wa kinje,yaan ilikuwa ni balaa-maana unafanya test huku unacheka-hadi mwalim nae inabid acheke tu-kipindi hicho NAH hakuna viti kama ilivyo sasa-kabla ya test ni kuhangaika kutafuta meza na kiti, wwe menyewe

nadhani hii ilikuwa mwaka 2005 test ya principles of mgnt.dha kiu bana
 
Jamani KIU ni nini??
Ni utani fulani ambao unaendana na ukweli, vichekesho, burudani na kila aina ya vibudisho vya kuchekesha unavyoviijua, labda mwingine amsaidie zaidi, kama ulisoma Mzumbe chuo na hata wale wa secondary wanafahamu kiu ni kitu gani inafurahisha sana
 
duh wengine hatukusoma huko and si vibaya kufahamu this hell thing called KIU! Somebody should say something
 
Kiu ilikuwa kama radio Mzumbe ila inafanya kazi zake nyakati za usiku. It was one way of reducing stress after masomo. Mida ya kuanzia saa sita usiku hadi saa tisa vijana wa kazi walikuwa wanajaribu kurekebisha tabia za wanachuo na wakufunzi. Makao makuu yalikuwa bweni la Mkwawa wenyewe wanaita Studio. It was funny but sometimes inaumiza na kukera hasa kama wewe ndio mlengwa. Kama una skendo chuoni, jua usiku unarushwa hewani live na wakata kiu kwa sauti ambazo huwezi zitambua. Kipindi cha mitihani kiu inaweza ikakatwa mchana kweupe hasa baina ya watani wa jadi BAF na BPA.......mwenye maelezo ya ziada aongezee.
 
kUMBE MMESOMA JUZI TU MNAJIFANYA WAZAMANI 2005 SIYE TUNAPANDISHWA VYEO KAZINI.
PIA MLIKUWA HAMJASTARABIKA HATA MIAKA HII YA 2000? SIYE TULIOSOMA ZAMANI TULIKUWA NA INCOGNITO HUYO ALIKUWA ANAANDIKA UCHAFU WA MTU FULANI NA KUBANDIKA JUU SANA KIASI KUGUNDUA NI TAABU ILA MKISHAGUNDUA MTASOMA ILIKUWA INAFURAHISHA KWANI MWANDIKO WA HUYU JAMAA ULIFANANA MIAKA YOTE, SWALI LILIKUWA JE HUYU JAMAA HAMALIZI CHUO? YEYE ALIKUWA ANASEMA HAJAWAHI KUDISCO WALA KUMALIZA CHUO.
 
Back
Top Bottom