pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
Mfano, Baba baba!! eti wanasema hujui kufunga tai!! ahahahah! kamata hao (hiyo ni kwa mchumi mmojia kwa jina la T...ui
basi eti mzee mwingine mtalaamu wa ngeli alikuwa anafundisha communication skills basi mkiwa NAH jamaa wanakuja wanachungulia, eti baba wanasema hujui kiingereza, kamata hao!!!
Ila kiu ilikuwa ni njema sana, sema chuo kilikosa ubunifu ktk kukabiliana na hiyo hali, kwani wangeweza kushauri kupitia uongozi wa wanafunzi wakaanzisha kitu mbadala cha kuwaburudisha wanafunzi maana wenzetu nchi nyingine unakuta vijana wa chuo wana viparty mfano bad taste day!, Traffic light party n.k
basi eti mzee mwingine mtalaamu wa ngeli alikuwa anafundisha communication skills basi mkiwa NAH jamaa wanakuja wanachungulia, eti baba wanasema hujui kiingereza, kamata hao!!!
Ila kiu ilikuwa ni njema sana, sema chuo kilikosa ubunifu ktk kukabiliana na hiyo hali, kwani wangeweza kushauri kupitia uongozi wa wanafunzi wakaanzisha kitu mbadala cha kuwaburudisha wanafunzi maana wenzetu nchi nyingine unakuta vijana wa chuo wana viparty mfano bad taste day!, Traffic light party n.k