Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Simba kwanini wanashindwa kumwamini Salum kama manula hayupo,huyu mwarabu ni mbovu,magoli tuliyofungwa Zambia yote mawili asilimia 70 ni kushindwa kudaka mashuti na asilimia nyingine 30 ni mabeki wa simba.
Kila shuti ikipigwa imo labda kama inaenda nje na unaona ipo chini ya uwezo wa kipa, kama Manula angekuwepo tungekuwa na clean sheet mechi zote mbili. Halafu ana pasi hata za hovyo ,anaweza kutoa pasi mshambuliaji pinzani inampiga kwa kipimo cha kidole gumba,imagine mshambuliaji kama Baleke au Kagere si lazima atoke na goli.
Kipindi Yanga wakiwa ombaomba kipa akiwa kindoki kocha wa makipa alisema Kindoki hafai shuti ikipigwa anafunga macho, mwisho wa siku yeye ndo akafukuzwa.
Hivi Kocha wa Simba haoni mapungufu ya huyo kipa mechi zote?
Robetinho hafai hatua inayofuata
Kila shuti ikipigwa imo labda kama inaenda nje na unaona ipo chini ya uwezo wa kipa, kama Manula angekuwepo tungekuwa na clean sheet mechi zote mbili. Halafu ana pasi hata za hovyo ,anaweza kutoa pasi mshambuliaji pinzani inampiga kwa kipimo cha kidole gumba,imagine mshambuliaji kama Baleke au Kagere si lazima atoke na goli.
Kipindi Yanga wakiwa ombaomba kipa akiwa kindoki kocha wa makipa alisema Kindoki hafai shuti ikipigwa anafunga macho, mwisho wa siku yeye ndo akafukuzwa.
Hivi Kocha wa Simba haoni mapungufu ya huyo kipa mechi zote?
Robetinho hafai hatua inayofuata