ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,452
- 11,371
Mashabiki wa yanga acheni visingizio kubalini mmepoteza na hiyo ni moja wapo ya mchezo.
Mmekuwa na visingizio vingi zisivyo na msingi, aya tukubali mlipoteza fainal kwa figisu huko Algelia vipi kuhusu kwa mkapa napo mlifungwa kwa sababu ya figisu?
Hizo mnazo ita figisu mbona zipo miaka na miaka?
Ukijaribu kusikiliza wachambuzi wanavyo ichambua hii mechi utagundua kuwa Tanzania hakuna wachambuzi bali kuna wafata mkumbo tu, wanakuambia Yanga wamecheza mpila mkubwa lakini ukijaribu kuangalia kwa jicho la mpira nje ya kumiliki mpila yanga hakuna cha ziada ilicho kifanya kwa ajili ya kutafuta goli.
Hivi utasemaje timu imecheza mpila mkubwa hali ya kuwa golikipa wake ndo amekuwa mchezaji bora kwa kuokoa hatari kwenye lango lake?
Kiufupi aliye ifanya fainal kuwa ngumu kwa waarabu ni yule beki aliye sababisha penaliti ya kipuuzi dakika za mwanzo ile penalty ilivuruga plan nzima ya mchezo walio kuwa wamepanga kuucheza.
Pia na ubora wa kipa wa Yanga hasa kipindi cha kwanza uli chagiza fainal kuwa ngumu kwa Waarabu.
Mmekuwa na visingizio vingi zisivyo na msingi, aya tukubali mlipoteza fainal kwa figisu huko Algelia vipi kuhusu kwa mkapa napo mlifungwa kwa sababu ya figisu?
Hizo mnazo ita figisu mbona zipo miaka na miaka?
Ukijaribu kusikiliza wachambuzi wanavyo ichambua hii mechi utagundua kuwa Tanzania hakuna wachambuzi bali kuna wafata mkumbo tu, wanakuambia Yanga wamecheza mpila mkubwa lakini ukijaribu kuangalia kwa jicho la mpira nje ya kumiliki mpila yanga hakuna cha ziada ilicho kifanya kwa ajili ya kutafuta goli.
Hivi utasemaje timu imecheza mpila mkubwa hali ya kuwa golikipa wake ndo amekuwa mchezaji bora kwa kuokoa hatari kwenye lango lake?
Kiufupi aliye ifanya fainal kuwa ngumu kwa waarabu ni yule beki aliye sababisha penaliti ya kipuuzi dakika za mwanzo ile penalty ilivuruga plan nzima ya mchezo walio kuwa wamepanga kuucheza.
Pia na ubora wa kipa wa Yanga hasa kipindi cha kwanza uli chagiza fainal kuwa ngumu kwa Waarabu.