Hivi kiongozi gani ana Uhuru wa kuingia na kutoka Ikulu muda wowote?

structuralist

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
1,230
907
Wakuu kuna hili swala nimekuwa nikjiuliuza tu.

Hivi ni kiongozi gani(kama yupo) tofauti na raisi ambaye wakati wowote anaweza ingia na kutoka Ikulu kadiri aonavyo inafaa bila kusimamishwa, kuhojiwa na kukaguliwa?

Je ni makumu wa raisi,Waziri mkuu, Mkuu wa majeshi, Jaji mkuu au ni nani?
 
Mkuu wa Protocal Balozi Maharagande wakati wa Mkapa alikuwa Abdul Cisco Mtiro!
 
hapo ikulu....pa kawaida sana hata ile feeling upo ikulu hauipati kabisa...afu kuingia ni rahisi sana! kama haina prestige vile....
 
Wakuu kuna hili swala nimekuwa nikjiuliuza tu. Hivi ni kiongozi gani(kama yupo) tofauti na raisi ambaye wakati wowote anaweza ingia na kutoka ikulu kadiri aonvyo inafaa bila kusimamishwa, kuhojiwa na kukaguliwa? Je ni makumu wa raisi,waziri mkuu,mkuu wa majeshi,jaji mkuu au ni nani?
Mimi hapa
 
Wakuu kuna hili swala nimekuwa nikjiuliuza tu. Hivi ni kiongozi gani(kama yupo) tofauti na raisi ambaye wakati wowote anaweza ingia na kutoka ikulu kadiri aonvyo inafaa bila kusimamishwa, kuhojiwa na kukaguliwa? Je ni makumu wa raisi,waziri mkuu,mkuu wa majeshi,jaji mkuu au ni nani?

Siyo 'swala' bali ni 'suala'. Kumbukeni 'swala' ni mnyama.
 
Wakuu kuna hili swala nimekuwa nikjiuliuza tu. Hivi ni kiongozi gani(kama yupo) tofauti na raisi ambaye wakati wowote anaweza ingia na kutoka ikulu kadiri aonvyo inafaa bila kusimamishwa, kuhojiwa na kukaguliwa? Je ni makumu wa raisi,waziri mkuu,mkuu wa majeshi,jaji mkuu au ni nani?

duh, mimi nahisi hamna mtu anayeingia ikulu pasipo kukaguliwa ikiwemo hata na raisi mwenyewe akitoka nje ya ikulu akirudi lazima akaguliwe either directly OR indirectly.
 
Kuna wale Ndege aina ya .......... nimesahau jina huwa hawakaguliwi mimi huwa nawaona wanatoka na kurudi bila kukaguliwa
 
Swali jepesi sana hili. Mtu mwenye uhuru wa kuingia na kutoka Ikulu muda wowote ni Rais, Mke wake na watoto wake. Wengine wote wanaingia na kutoka kwa masharti
 
Licha ya rais, mkewe na watoto wake, ni nani wengine ambao makazi yao ni pale ikulu?
 
Hawa wafuatao si tu wanaweza kuingia ikulu muda wowote wautakao bali wana uweza wa kumwita Rais ofisini kwao
1. Mkuu wa Majeshi
2. Shekhe Mkuu
3. Kardinali
 
hapo ikulu....pa kawaida sana hata ile feeling upo ikulu hauipati kabisa...afu kuingia ni rahisi sana! kama haina prestige vile....
Uliingia Ikulu gani ukajihisi upo Ikulu kweli?
Ikulu sio majengo ndugu. .....!
 
Back
Top Bottom