chiumbimnungu
Senior Member
- Mar 25, 2017
- 151
- 217
Sijamsikia muda mrefu huyu mzee wala ule ukaribu sanaaa na Chama siuoni tena.
Naomba kujuzwa wazee wa Lumumba ni kweli bado katibu mkuu na kama bado katibu mkuu anafanyia wapi kazi zake au anatumia style ya remort sasa, ninachokumbuka mzee alikuwa mbele mbele tofauti na sasa haonekani Kabisaaaaaa.
Mukuje mutujuzeeee wana Lumumba wenyewe
Naomba kujuzwa wazee wa Lumumba ni kweli bado katibu mkuu na kama bado katibu mkuu anafanyia wapi kazi zake au anatumia style ya remort sasa, ninachokumbuka mzee alikuwa mbele mbele tofauti na sasa haonekani Kabisaaaaaa.
Mukuje mutujuzeeee wana Lumumba wenyewe