Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Chasha ww ni mkulima/mfugaji..unajua kbs pembejeo zilivyo juu plus ununue madawa ukute fake... labda uniambie hujawah ingia shamba kbs..lakini kwa gunia kuuzwa 20000 ni bora uacheUlitaka Gunia liuzwe sh ngapi? Leta mchanganuo wa Gharama za kupata hilo Gunia moja zen tulinganishe
Ndgu uko mkoa gani yaani kilimo unata kulimia wapi ili nikushauri zao mbadala la kulima hapo lakini mahindi wewe mwenyewe nishahidi kua hilo zao ndguye mbaazi ni jipuNataka nilime mahindi ila nahofia kuangamiza pesa. Je, nipande mbegu gani iliyo bora kwa kipato kingi?
Umeona mbali, kama ilivyokuwa nyanya 2016 alafu misimu iliyofuata watu wakatoboa.Naona fursa katika mahindi, Wote mnayapiga vita mwakani yataadimika waliolima watanufaika
Kama unauenyeji wa gairo naomba msada tafadhaliNikushauri tu mkuu... tena nakushauri km mkulima mzoefu..hebu nenda gairo kalime maharage... huwez bora ht ununue mpunga uuweke ndan..alafu mwaka huu mpunga haujapanda sana sijui y
Nakiona kilio mbele..ndugu yangu kama hela ni ya ngama na hujawai fanya kilimo maishan ndo unaanza yaan lazma ulie,trust me,hata ukifata taratib zote..so achana kabsa na hyo kitu
Ushaur..umiza kichwa kutafta mentor.yaan mtu anaelima na kufanya biashara hyo au zao lolote muda mref,.mwombe chini ya miguu yake mfanye wote step by step hata kwenye eneo moja aku guide kila kitu hata kumlipa mlipe.hapo utatoboa
hivi mkuu samahani laki tatu inatosha kununua mpunga huko gairo?au kulima maharageKilimo cha Maharage ndo Chenyew mkuuu..Kinalipa sanaa
Kama unauenyeji wa gairo naomba ntakuchek
ntakupa namba za wanaokaa gairoSijakuelewa
Umejiandaaje na changamoto ya wizi wa mahindi unaofanywa na Ngedere hasa usiku?Nataka nilime mahindi ila nahofia kuangamiza pesa. Je, nipande mbegu gani iliyo bora kwa kipato kingi?
Ngedere hawaoni usiku ni mchana tu labda nguruweUmejiandaaje na changamoto ya wizi wa mahindi unaofanywa na Ngedere hasa usiku?
Dah hahahahahahahaMkuu gunia la mahindi tsh 18000-40000/= sasa naomba nikwambie ukweli kuwa angalia kilimo kingine sio mahindi maana utajinyonga mwakani mwezi kama huu
HahaaMkuu gunia la mahindi tsh 18000-40000/= sasa naomba nikwambie ukweli kuwa angalia kilimo kingine sio mahindi maana utajinyonga mwakani mwezi kama huu
HahaaSiku atakapoambiwa na jeshi aonyeshe aliko lima mpunga usisahau kumsaidia mkuu.
Daah hata mimi maneno yao yalikuwa yamesha ni-vunja MoyoUtaambiwa mengi sijawahi ona kilimo kimemtupa mtu.Cha muhimu fanya utafiti wa udongo,maji,msimu na mazingira usitupe mtaji wote kwa mpigo kwa msimu huu anza kujifanya kama hulimi kibiashara ni ajili ya kuchoma tu na ya kula msimu unaofuata jimwage panua eneo lima.Kumbuka wako kilimo hiki kiliwatoa watu.Kumbuka kukata tamaa ni sumu ya maendeleo.Watakushauri wengine humu wako Dar hata mti wa kisamvu hana wanakushauri kimasiraha.
Sent using Jamii Forums mobile app