Habarini wakuu,
Leo kuna sehemu nilikwenda kumcheki jamaa yangu mtaa fulani amehamia hivi karibuni ila sehemu anayokaa sipajui, katika pitapita zangu nikakutana na binti mmoja nikamuita anielekeze nimepotea njia, ile kumuita tu akasonya akaondoka, akapita wa pili nikamuita ananiangalia kwa dharau akaondoka na akapita wa tatu nikamuita akasema anakujua akaondoka, nikashindwa hata kuwauliza ikabidi nimpigie jamaa anifuate.
Hivi kwanini wadada wengi mnafikira potofu hivyo?
Leo kuna sehemu nilikwenda kumcheki jamaa yangu mtaa fulani amehamia hivi karibuni ila sehemu anayokaa sipajui, katika pitapita zangu nikakutana na binti mmoja nikamuita anielekeze nimepotea njia, ile kumuita tu akasonya akaondoka, akapita wa pili nikamuita ananiangalia kwa dharau akaondoka na akapita wa tatu nikamuita akasema anakujua akaondoka, nikashindwa hata kuwauliza ikabidi nimpigie jamaa anifuate.
Hivi kwanini wadada wengi mnafikira potofu hivyo?