hivi kesho watanzania wataondokana na giza kweli ?

JOB SEEKER

Senior Member
Aug 1, 2011
145
33
kesho tarehe 13/08/2011 ni siku ya kipekee kabisa kwa watanzania kufuatia

Bunge leo tarehe 12/08/2011 saa nne asubuhi kutengua kanuni ili kuruhusu

kujadiliwa kwa bajeti ya nishati na madini hapo kesho kupitia kamati ya

matumizi, kuskiliza na kujadili mpango maalum wa kuliondoa taifa gizani ,

je watanzania ni kweli kwamba serikali itaondoa tatizo la umeme ndani ya

muda maalum na wakati tatizo hilo limedumu ndani ya miaka 50 ya

uhuru ? serikali inayoitwa sikivu je ilishindwaje kuliona tatizo hilo mapema

wakati bajeti ikiandaliwa tulikuwa kwenye mgao ? je ni hatua gani za

kiuwajibikaji watachukuliwa wahusika wote waliopelekea kufa kwa miradi

mikubwa ya umeme au ndiyo mpango maalum ? nawakilisha.
 
Hakuna lolote,atakuja kutaja megawati tu huyo,megawati.....megawati.....megawati..... and so on
 
Kwa taarifa nilizonazo kupitia kwa msemaji wa shilika la ugavi wa nishati hiyo ni kuwa,kuna mitambo imewasili,ambayo ina uwezo wa kuzalisha megawati 100. Hadi kufikia septemba mwaka huu mgao utakuwa umepungua kama si kwisha kabisa chanzo hicho kilisema. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
pia kuna taarifa dhidi ya jairo, jalada lake la uchunguzi lafikishwa kwa DPP. Nadhani huu utakuwa mwnzo tu wa safari ndefu ya kushughulikia kero na uwozo unaoikabili wizara hiyo muhimu.
 
Kwa taarifa nilizonazo kupitia kwa msemaji wa shilika la ugavi wa nishati hiyo ni kuwa,kuna mitambo imewasili,ambayo ina uwezo wa kuzalisha megawati 100. Hadi kufikia septemba mwaka huu mgao utakuwa umepungua kama si kwisha kabisa chanzo hicho kilisema. &amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
pia kuna taarifa dhidi ya jairo, jalada lake la uchunguzi lafikishwa kwa DPP. Nadhani huu utakuwa mwnzo tu wa safari ndefu ya kushughulikia kero na uwozo unaoikabili wizara hiyo muhimu.
<br />
<br />
DPP? Si ndo njia ya kwenda mahakamani! Kwanza ndiko inakopatikana haki na pili wakati mchakato wa kupata haki ukiendelea swala husika halitakiwi kujadiliwa. Sijui umenipata?
 
Sahau!!!!!siasa huwa inamaneno matamu sana kama sauti ya santuri au kinanda,lakini utekelezaji wa maneno yaongelewayo huwa ni mgumu,kama gamba la ccm
 
SITEGEMEI JIPYA. Mi nasubiri tarehe 30/8(aliyo tuahidi pinda) ifike illi tuanze mipango ya kuandamana nchi nzima.
 
Kiukweli hadi sasa sielewi serikali inampango gani?uku kwetu kagera umeme uwa haukatiki lakini kesho jumamosi wametutangazia mgomo siku nzima sasa sijui wanamaanisha nini.lakini sina hofu coz kuna makamanda ambao tumewatuma mjengoni sizani ka watatulostisha wenje,lema,msigwa,mnyika na tundu naomba mtupiganie tupo nyuma yenu makamanda.saga continue
 
Back
Top Bottom