JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
kesho tarehe 13/08/2011 ni siku ya kipekee kabisa kwa watanzania kufuatia
Bunge leo tarehe 12/08/2011 saa nne asubuhi kutengua kanuni ili kuruhusu
kujadiliwa kwa bajeti ya nishati na madini hapo kesho kupitia kamati ya
matumizi, kuskiliza na kujadili mpango maalum wa kuliondoa taifa gizani ,
je watanzania ni kweli kwamba serikali itaondoa tatizo la umeme ndani ya
muda maalum na wakati tatizo hilo limedumu ndani ya miaka 50 ya
uhuru ? serikali inayoitwa sikivu je ilishindwaje kuliona tatizo hilo mapema
wakati bajeti ikiandaliwa tulikuwa kwenye mgao ? je ni hatua gani za
kiuwajibikaji watachukuliwa wahusika wote waliopelekea kufa kwa miradi
mikubwa ya umeme au ndiyo mpango maalum ? nawakilisha.
Bunge leo tarehe 12/08/2011 saa nne asubuhi kutengua kanuni ili kuruhusu
kujadiliwa kwa bajeti ya nishati na madini hapo kesho kupitia kamati ya
matumizi, kuskiliza na kujadili mpango maalum wa kuliondoa taifa gizani ,
je watanzania ni kweli kwamba serikali itaondoa tatizo la umeme ndani ya
muda maalum na wakati tatizo hilo limedumu ndani ya miaka 50 ya
uhuru ? serikali inayoitwa sikivu je ilishindwaje kuliona tatizo hilo mapema
wakati bajeti ikiandaliwa tulikuwa kwenye mgao ? je ni hatua gani za
kiuwajibikaji watachukuliwa wahusika wote waliopelekea kufa kwa miradi
mikubwa ya umeme au ndiyo mpango maalum ? nawakilisha.