Hivi kazi ya TAKUKURU ni kusubiri hadi wapewe maaigizo, nini maana ya kuzuia?

Gaitonde

Member
Sep 5, 2022
70
170
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa.

Mfano huko uvinza kwahiyo bila Waziri Mkuu kwenda huko maana yake hayo makandokando yasingejulikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari sana

Nawasilisha...
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze
Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa

Mfano huko uvinza kwaiyo bila waziri mkuu kwenda huko maanake hayo makandokando yasinge julikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari Sana
Nawasilisha...
Takukuru=CCM
 
Takukuru ni mbwa koko,wanaone watumishi wachini,ila vigogo na mafisadi ya kijani kamwe hawayagusi.
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze
Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa

Mfano huko uvinza kwaiyo bila waziri mkuu kwenda huko maanake hayo makandokando yasinge julikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari Sana
Nawasilisha...
Unafikiri PM au President huwa anaota ubadhirifu ? .....info zao na tiss ndio huanzißha uchunguzi
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa.

Mfano huko uvinza kwahiyo bila Waziri Mkuu kwenda huko maana yake hayo makandokando yasingejulikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari sana

Nawasilisha...
Soma Sheria ya Kuunda Takukuru ndio utajua
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa.

Mfano huko uvinza kwahiyo bila Waziri Mkuu kwenda huko maana yake hayo makandokando yasingejulikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari sana

Nawasilisha...
Hamna kitu mule!!
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa.

Mfano huko uvinza kwahiyo bila Waziri Mkuu kwenda huko maana yake hayo makandokando yasingejulikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari sana

Nawasilisha...
Watumishi wa Halmashauri na Hawa Maofisa wa Takukuru ktk hizi halmashauri Ni marafiki na wako ktk circle moja.

Wanakutana bar, wanashirikiana kwa mambo mengi. Hakuna kinachoweza kufanyika hata km watapata taarifa za ufisadi zaidi ya kulingana.
 
Watumishi wa Halmashauri na Hawa Maofisa wa Takukuru ktk hizi halmashauri Ni marafiki na wako ktk circle moja.

Wanakutana bar, wanashirikiana kwa mambo mengi. Hakuna kinachoweza kufanyika hata km watapata taarifa za ufisadi zaidi ya kulingana.
Halafu wanapiga mipunga usiseme. Washikaji ni wala rushwa kishenzi.

Waliwahi kunibananisha eti nimepokea rushwa, tena ya ngono. Nilipowabwaga, wakamgeukia jamaa yangu kwa makosa ambayo hakuwa na namna ya kuyakwepa.


Aisee walimnyonyoa bila maji ya moto. Hadi huruma.

Kwa kuwa lilikuwa kosa la kimaadili la kazi yake, hakuwa na namna ya kujitetea maana kibarua kilikuwa kinaota nyasi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Umejiuliza nani anawatonya?
Kama ni raia wa kawaida kumfikia PM au Rais ni ngumu sana
Hapo kuna mashushushu wanapanda moja kwa moja kwenye simu ya kutwanga tu

Hawa Taku hawana Habari kwa wamekaa ofisini tu na ukishtaki mkubwa unaweza kugeuziwa kibao kabisa na ukafunguliwa kesi wewe

Woo wanapewa amri tu ndio utawasikia kwenye mikutano wakiondoka na mtu ila mbele huko hatujui
Hivi nimeiba 1b halafu nabebwa kwenye defender jioni unanikuta bar utasemaje
 
Watumishi wa Halmashauri na Hawa Maofisa wa Takukuru ktk hizi halmashauri Ni marafiki na wako ktk circle moja.

Wanakutana bar, wanashirikiana kwa mambo mengi. Hakuna kinachoweza kufanyika hata km watapata taarifa za ufisadi zaidi ya kulingana.
Kwahyo ukiwa takukuru hutakiwi kuwa na rafiki wa halmashauri?
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa.

Mfano huko uvinza kwahiyo bila Waziri Mkuu kwenda huko maana yake hayo makandokando yasingejulikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari sana

Nawasilisha...
Ajira zao zenyewe zinapatikana kwa rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa.

Mfano huko uvinza kwahiyo bila Waziri Mkuu kwenda huko maana yake hayo makandokando yasingejulikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari sana

Nawasilisha...
Wanalindana.
 
Unafikiri PM au President huwa anaota ubadhirifu ? .....info zao na tiss ndio huanzißha uchunguzi

Tiss hutoa taarifa hadi huko takukuru,tiss hutoa taarifa hadi polisi ni kazi yao kutoa taarifa kwa taasisi husika ili zichukue hatua,takukuru haina nguvu kwa vigogo na wanasiasa takukuru ni chaka la wala rushwa pia.
 
Halafu wanapiga mipunga usiseme. Washikaji ni wala rushwa kishenzi.

Waliwahi kunibananisha eti nimepokea rushwa, tena ya ngono. Nilipowabwaga, wakamgeukia jamaa yangu kwa makosa ambayo hakuwa na namna ya kuyakwepa.


Aisee walimnyonyoa bila maji ya moto. Hadi huruma.

Kwa kuwa lilikuwa kosa la kimaadili la kazi yake, hakuwa na namna ya kujitetea maana kibarua kilikuwa kinaota nyasi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app

Wahuni wale wanakula rushwa zaidi hata ya watumishi usiombe uingie kumi na nane zao,utauza hadi mashamba kwa kuwahonga .
 
Mkuu hii nchi kama tungekiwa na taasisi zenye watu wenye maadili yaani , wanafuata yale ambayo wamepewa kuyasimamia, basi tungekuwa miongoni mwa nchi zenye mfumo bora sana Duniani , kutokana na baadhi ya sheria bora tulizonazo ikiwemo PCCB Act.

Lakini katika uhalisia, TAKUKURU ni wapupu, wazee wa maelekezo haijawahi kutokea.

Take an example, kwenye Miradi mikubwa kwa majukumu ambayo hizi ndezi TAKUKURU wamepewa, walipaswa kuanza kunusa harufu za ufisadi na rushwa kuanzia utangazaji wa tenda mpaka ukamilishaji wa Miradi, Lakini hawawezi fanya ivo sio kwasababu hawawezi bali hawajapewa maelekezo hayo.

Sasa njoo usikie kazi za TAKUKURU, utasikia wamemfikisha mahakamani fundi aliehujumu mifuko ya cement kwenye zahanati inayojengwa, wapuuzi sana hawa kuku.

CAG katoa ripoti ngapi? Ambazo kimsingi TAKUKURU waliopaswa kufanyia kazi kwa kuanzia kutilia mashaka juu ya hatua za mwanzo zinazofifishwa makusudi? Je? Ushawasikia wakifanya lolote?

TAKUKURU utendaji kazi wake ni kama wa Dude wa Bongo daslam ya kipindi kile, yaani ipo kitapeli tapeli na hawapo serious na kazi yao.
 
Salaam...

Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina maana wao hawana utaratibu wakufatilia miradi pindi inapoanza tu kutekelezwa.

Mfano huko uvinza kwahiyo bila Waziri Mkuu kwenda huko maana yake hayo makandokando yasingejulikana
Na takukuru wapo

Takukuru inabidi wajitafakari sana

Nawasilisha...
Hii taasisi ilianzishwa ili kuwapa ajira kundi fulani la wahuni
 
Back
Top Bottom