Obhusegwe
JF-Expert Member
- Dec 28, 2008
- 231
- 28
Wajameni wandugu!
Heshima mbele!!
Mimi ni mpitaji wa hii barabara inayopita Lugalo kuelekea maeneo ya mbezi mpaka b.moyo. Karibu kila siku napita hapo nikielekea kwny kibarua changu.
Cha kushangaza almost kila siku nikipita nakuta wanajeshi wakifyekafyeka na kuokotaokoa takataka karibu na barabara kwenye eneo lote la jeshi. Hii nimeiangalia kwa muda mrefu sana na nimeanza kujiuliza hivi kazi ya mwanajeshi(lets say daily routine) ni nini? Bado sijapenda kuamini kama ndo hiyo.. kama ileeeeee tuliyokuwa tunafanya kila siku asubuhi kwenye shule zetu za saint mapapai anzi zileeeeeeee!!!
Je serikali haioni kama inabwetesha nguvu kazi? kwa nini jeshi lisifungue miradi ya kuwashirikisha hawa jamaa ili at least washiriki ktk uzalishaji?
NAOMBA KUWASILISHA!!
Heshima mbele!!
Mimi ni mpitaji wa hii barabara inayopita Lugalo kuelekea maeneo ya mbezi mpaka b.moyo. Karibu kila siku napita hapo nikielekea kwny kibarua changu.
Cha kushangaza almost kila siku nikipita nakuta wanajeshi wakifyekafyeka na kuokotaokoa takataka karibu na barabara kwenye eneo lote la jeshi. Hii nimeiangalia kwa muda mrefu sana na nimeanza kujiuliza hivi kazi ya mwanajeshi(lets say daily routine) ni nini? Bado sijapenda kuamini kama ndo hiyo.. kama ileeeeee tuliyokuwa tunafanya kila siku asubuhi kwenye shule zetu za saint mapapai anzi zileeeeeeee!!!
Je serikali haioni kama inabwetesha nguvu kazi? kwa nini jeshi lisifungue miradi ya kuwashirikisha hawa jamaa ili at least washiriki ktk uzalishaji?
NAOMBA KUWASILISHA!!