Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Wapendwa, tuko 2018 ikiwa bado miezi 20 tu kuingia kwny uchaguzi mkuu.Hebu tuambie humu Leo je mbunge wako kasaidia jambo gani lenye manufaa katika Kata yako?
Je asogeza jambo gani mbele ya meza ya wizara ambalo limetekelezwa?
NAANZA MIMI MBUNGE WANGU ALITOA TSHS MILIONI 4 UKARABATI WA VISIMA VIFUPI VYA MAJINI KATIKA KATA YANGU JIMBO LA BUSEGA.
Je asogeza jambo gani mbele ya meza ya wizara ambalo limetekelezwa?
NAANZA MIMI MBUNGE WANGU ALITOA TSHS MILIONI 4 UKARABATI WA VISIMA VIFUPI VYA MAJINI KATIKA KATA YANGU JIMBO LA BUSEGA.