Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,542
- 7,450
Tuliaminishwa sisi matajiri sana na hatuhitaji kuomba, Ila toka aingie tumekuwa ombaomba vile vile au zaidi ya utawala uliopita,
Hakuna kitu tumefanya kwa pesa zetu, tuliondoa pesa za msd na pesa za wanafunzi wa vyuo vikuu, tukanunua pangaboi, sasa hospital hakuna madawa wala mikopo hakuna vyuoni,
Hakuna kitu tumefanya kwa pesa zetu, tuliondoa pesa za msd na pesa za wanafunzi wa vyuo vikuu, tukanunua pangaboi, sasa hospital hakuna madawa wala mikopo hakuna vyuoni,