Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma mkuu''B'' ni jibu sahihi.
haaaaaa kumbe aliropoka ..msamehe idadi ilizidi watu4 ndo maanaNimemuomba atujengee uwanja wa mpira na msikiti hahahaha BWANA YULE.watu hawana makazi ya kuishi madaraja mabovu watoto hawana vitendea kazi shule wewe unakuja kuropoka hapa.
swissme
Mtasema mchana usiku mtalala lakini hapa kazi tuWakuu katika kipindi hiki kifupi cha Awamu tano kwa uelewa wangu kimetosha kabisa kujibu swali hili ..
Hivi kati ya hawa watu wawili nani Omba omba mimi ni mgeni kidogo katika hili suala lakini kwa sasa nnao wageni ambao hawajawahi tia mikono yao tz ?
Mnataka amwombe ili mjengewe nyumba za kuishi ninyi na wake zenu?Chakarikeni acheni umbea mtasutwa wanaumeNimemuomba atujengee uwanja wa mpira na msikiti hahahaha BWANA YULE.watu hawana makazi ya kuishi madaraja mabovu watoto hawana vitendea kazi shule wewe unakuja kuropoka hapa.
swissme
Huyu wa sasa hajapanda ndege kwenda USA au Canada, akiambatana na rundo kubwa la watu.Anaomba lkn hafati anafatwa
Wakuu katika kipindi hiki kifupi cha Awamu tano kwa uelewa wangu kimetosha kabisa kujibu swali hili ..
Hivi kati ya hawa watu wawili nani Omba omba mimi ni mgeni kidogo katika hili suala lakini kwa sasa nnao wageni ambao hawajawahi tia mikono yao tz ?
Kwani kujua kama mtu omba omba au la ina hitaji miaka mingapi?Tuwe tunajifunza kufanya Intellectual Comparisons ili tukija humu JF basi tudhihirishe kweli kuwa tulikuwa ' hatuchezi ' Mashuleni na Vyuoni. Mkuu hivi inaingia akilini kweli leo hii kumfananisha Mtu ambaye ndiyo kwanza wiki mbili tu zijazo anatimiza mwaka mmoja madarakani na yule ambaye ameshakaa ' madarakani ' kwa miaka yake yote 10? Hivi Waafrika nani ' alituroga ' hadi hatujui kufikiri hivi na kujenga hoja?
Kwani kujua kama mtu omba omba au la ina hitaji miaka mingapi?
Tuwe tunajifunza kufanya Intellectual Comparisons ili tukija humu JF basi tudhihirishe kweli kuwa tulikuwa ' hatuchezi ' Mashuleni na Vyuoni. Mkuu hivi inaingia akilini kweli leo hii kumfananisha Mtu ambaye ndiyo kwanza wiki mbili tu zijazo anatimiza mwaka mmoja madarakani na yule ambaye ameshakaa ' madarakani ' kwa miaka yake yote 10? Hivi Waafrika nani ' alituroga ' hadi hatujui kufikiri hivi na kujenga hoja?
Watu wana compare ktk mwaka huo mmojaTuwe tunajifunza kufanya Intellectual Comparisons ili tukija humu JF basi tudhihirishe kweli kuwa tulikuwa ' hatuchezi ' Mashuleni na Vyuoni. Mkuu hivi inaingia akilini kweli leo hii kumfananisha Mtu ambaye ndiyo kwanza wiki mbili tu zijazo anatimiza mwaka mmoja madarakani na yule ambaye ameshakaa ' madarakani ' kwa miaka yake yote 10? Hivi Waafrika nani ' alituroga ' hadi hatujui kufikiri hivi na kujenga hoja?
Wakuu katika kipindi hiki kifupi cha Awamu tano kwa uelewa wangu kimetosha kabisa kujibu swali hili ..
Hivi kati ya hawa watu wawili nani Omba omba mimi ni mgeni kidogo katika hili suala lakini kwa sasa nnao wageni ambao hawajawahi tia mikono yao tz ?