Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,599
Kwa upande wa CCM kuna watu hodari kama kina Chenge ambaye naskia amesoma Harvard, Ngeleja na Mkono lakini hawa sijawahi kuwasikia kwenye tasnia ya sheria kama nnavowaskia wanasheria wa CDM kwa kipindi cha kama miaka 2 iliyopita. Ukitaja watu kama Mabere Marando, Tundu Lisu, Albert Msando, John Mallya ambaye huu mwaka amewika sana, James Millya etc.
Hivi kwa wataalamu wa sheria kati ya vyama hivi viwili ni wapi wanaweza kuwa na wanasheria hodari kuliko wengine?
Nawasilisha
Hivi kwa wataalamu wa sheria kati ya vyama hivi viwili ni wapi wanaweza kuwa na wanasheria hodari kuliko wengine?
Nawasilisha