Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,756
Wazungu hao ndio wanafanya unaongeza CD4 hadi sasa unakuja kuleta ngebe za kike kususiana na radio???Tatizo unaabudu sana wazungu....tatizo ilo
Wazungu hao ndio wanafanya unaongeza CD4 hadi sasa unakuja kuleta ngebe za kike kususiana na radio???Tatizo unaabudu sana wazungu....tatizo ilo
Watu sio wema mzee wangu kuna kituSijui ni nini kinaendelea huko, kama kuna lolote bora wayamalize jamaa aludi mzigoni
Mkuu huyo jamaa usikute saizi yupo anasikiliza DW kupitia radio. Achana naye tu si unajua wabongo kwa kujikwezaHii ndiyo JF inayoamini kuangalia TBC ni ujinga, leo mtu anashangaa kuwa watu wanasikiliza redio kweli!! Hakuna chombo cha habari ambacho hupeleka taarifa kwa haraka kama radio hapa nchini.
Leo mtu anajitia kidole kwenye puru na kujinusa kisha anashangaa kinanuka serious!!!?
Ni miongoni mwa wapumbavu tuliobaki nao hapa nchini na kama kajaaliwa kizazi usishangae kuona kizazi chake kikirithi upumbavu wake.Mkuu huyo jamaa usikute saizi yupo anasikiliza DW kupitia radio. Achana naye tu si unajua wabongo kwa kujikweza
Na baada ya kuchuja/kumalizwa kule CMG karudisha Kende kwa majizo.Jamal April ndiye mtunzi wa hizo story zote unazozisikia akisimulia Mtiga, Mtiga ni msimuliaji tu.
Huenda kuna tatizo mahala ana muda hajasimulia simulizi mpya.
.
Au watu wametia mzigo mrefu kama wa Kicheko (masawe mtata) kutoka EFM kwenda CMG
Na wasafi Tv mkuuKipindi huwa kina ruka wasafi FM na youtube pia mimi binafsi huwa naangalia sana kupitia YouTube
Huyo Annanias ye yupo wapi saizi?Kipindi cha The story book Cha wasafi media kimeanzishwa na Annanias Edgar ,,,,Sasa nilitegemea yy ndo awe anakitangaza jamaa yupo vizur kuliko hata huyo mtiga ,but mtiga nae yupo poa kiasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao hao wazungu wanakuletea na ushoga nawewe kwa mikono miwili kabisa na magoti ya heshima unaupokea...Wazungu hao ndio wanafanya unaongeza CD4 hadi sasa unakuja kuleta ngebe za kike kususiana na radio???
Wewe ni nyani mbele ya mzungu huna chochote jikubali kuwa wewe ni nyani na miongoni mwa vivutio ambavyo huleta hao wazungu nchini.Hao hao wazungu wanakuletea na ushoga nawewe kwa mikono miwili kabisa na magoti ya heshima unaupokea...
Yote tisa radio,CD,barua za simu zimeshapitwa na wakati
Nyani wewe tu mzee....Wewe ni nyani mbele ya mzungu huna chochote jikubali kuwa wewe ni nyani na miongoni mwa vivutio ambavyo huleta hao wazungu nchini.
Aliekwambia radio zimepitwa na wakati ni mpumbavu kama wewe, unajua kuwa zaidi ya asilimia 50 ya vyombo vya habari hapa nchini ni radio.
Unawaona wazungu ni wajinga hadi sasa bado wanakupa pedi kila mwisho wa mwezi unazuia mkojo wako wenye damu kushuka miguuni.
CMG walimchukua kwa sababu ya trend ya singeli nadhani wameshindwa kumuendeleza baada ya mastermind mwenyewe ku rest in peaceNa baada ya kuchuja/kumalizwa kule CMG karudisha Kende kwa majizo.
dodge
Ukisikia sensa ya wanyama imekaribia jitahidi uwe mbugani uhesabiwie pamoja na nyani kuliko kuwa uraiani na akili mbovu hiziNyani wewe tu mzee....
Haya marangi nimesoma nayo na ni mavilaza makubwa tu.
Jiulize kwanini usafiri asilimia kubwa ni daladala na bodaboda??wananchi hawapendi magari?
La! Lakini ni hela tu mkuu, ingekuwa ni cheap kuanzisha TV station kama kuanzisha kibanda cha Chipsi ungeona Chanel za kibongo zimejaa.
Skuizi radio watu wanasikiliza Kwenye daladala tu wakiwa wanaenda au kutoka kazini tena hata hizo daladala zinawasikilizisha watu radio kwasababu hawana hela ya kuweka screen watu wale dundo..
Wewe ndo mwenyekiti wa wanyama hadi unajua mna sensa zenu?Ukisikia sensa ya wanyama imekaribia jitahidi uwe mbugani uhesabiwie pamoja na nyani kuliko kuwa uraiani na akili mbovu hizi
Na bora wameahindwa kumuendeleza,Singeli ni mziki wa kikuda kuda sana.CMG walimchukua kwa sababu ya trend ya singeli nadhani wameshindwa kumuendeleza baada ya mastermind mwenyewe ku rest in peace