KingPower
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 1,098
- 1,745
Habari wakuu na poleni na majukumu
Nimekua mpenzi sna wa kipindi cha The Story Book cha Wasafi Media
Nilikua nimevutiwa sna na umahiri wa msimuliaji Mtiga Abdallah. Alikifanya kipindi kikapedwa sna na watu wa rika zote.
Hata alipo toka Wasafi Media Mimi nilikua miongoni Mwa watu waliosema sita sikiliza tena The Story Book.
Ila kwa creativity ya Jamal April aka Professor imenifanya niendelee kukisikiliza na kukipenda zaidi hiki kipindi hii ni kutoka na kujitofautisha na Mtiga.
Je, wewe mtazamo wako upi?
Je, Mtiga Vs Professor nani katisha zaidi Kwa wakati wake walipo kua wakihudumu katika kipindi cha The Story Book?
Nimekua mpenzi sna wa kipindi cha The Story Book cha Wasafi Media
Nilikua nimevutiwa sna na umahiri wa msimuliaji Mtiga Abdallah. Alikifanya kipindi kikapedwa sna na watu wa rika zote.
Hata alipo toka Wasafi Media Mimi nilikua miongoni Mwa watu waliosema sita sikiliza tena The Story Book.
Ila kwa creativity ya Jamal April aka Professor imenifanya niendelee kukisikiliza na kukipenda zaidi hiki kipindi hii ni kutoka na kujitofautisha na Mtiga.
Je, wewe mtazamo wako upi?
Je, Mtiga Vs Professor nani katisha zaidi Kwa wakati wake walipo kua wakihudumu katika kipindi cha The Story Book?