komamgo
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 1,757
- 1,481
Dikiteta , wakati wewe ni kinara wa kumpangia Magu akaseme nini na wapi . Mkuki kwa nguruwe mtamu lakini kwako hahUsinipangie nini cha Kuandika tafadhali sawa?
Dikiteta , wakati wewe ni kinara wa kumpangia Magu akaseme nini na wapi . Mkuki kwa nguruwe mtamu lakini kwako hahUsinipangie nini cha Kuandika tafadhali sawa?
Zaidi ya tuijuavyoMmmh tz kubwa!
Waingea nn ww? Kana haujui kitu khs tsunami ni afadhali ukanyamaza kimya! Si kwa wanaoishi hizo sehemu ulizitaja tu ni sehemu kubwa ya jiji la dsm na hata mikoa jiran kama tsunami kama ile ikitokea dsm! Ukiangalia ile clip alafu ukasikilza maneno yaliuomo ndani yake jamaa anasema iliosha miji na vijiji ndg si mchezo ile kitu!Duh...tehtehtehtehteh...watu mna 'roho' ngumu...tehtehtehteh...Ila ushauri wangu kwa wengi ambao hawafahamu ni kuwa wote wale wanaoishi karibu na bahari wako katika mazingira hatarishi...Ndugu yangu unakumbuka kile kilichotokea kule Indonesia nadhani mwanzoni mwa miaka ya 2000 kutokana na tsunami?/ Bahari au mawimbi yake yalikuja kwa kasi zaidi ya futi 10 juu na kuua maelfu kwa maelfu ya watu...ikitokea hapa Dar walioko Kigamboni, masaki, msasani, Kawe, mikocheni, oysterbay, kunduchi, Bunju, city centre, kariakoo nk wataipatapata..tehtehtehtehtehteh
NiniMleta mada unataka kuleta nini Jf?
Mkishamalizana na "Washenzi Wanaotumiwa za Mabeberu" tutakuja kumalizana na "Mshenzi Asiyetumiwa na Mabeberu"...MUDA UTAFIKA TU!kipo kama kawa na washenzi wanaotumiwa na mabeberu wote huko ndiko wanakostahili as we do puuzi saana tuna kila kitu then unanitukana unatarajia nini zaidi ya kushughulikiwa secretly. vunja fupa meno ingali ipo, natumia fursa coz ndio my present time
SureSasa hivi siyo kuwekwa tu ni torture ya hatari na vifo!
4.Lissu.Tena awamu hii kana wafungwa wa kutosha kama vile
1. A ZORE
2. MWOO
3. SAA TISA
😂😂😂😂Mleta mada unataka kuleta nini Jf?
ThubutuWewe kuna kitu unatafuta wait utakipata
Kivutio cha wataliiKuna ka kisiwa mita kadhaa kutoka Kigamboni, kabla Jumbe hajapelekwa ANSUYA NAVAS kisota alianzia huko inasemekana,
Nauliza kaliendelea kutumika kuficha waarifu, wahujumu uchumi na watuhumiwa wa uhaini kama wakati wa Nyerere?
Je, watu wanaruhusiwa kufika pale? Au bado Kako chini ya jeshi?
Chatu bado wapo?
Mwenye majibu please
View attachment 901484
Britannica
Jumbe si kashazikwa mkuu mbona unampa mama majukumu ya manabiiHivi ikitokea mama akamwachia Jumbe nini kitatokea
Jumbe kashafarikiHivi ikitokea mama akamwachia Jumbe nini kitatokea
Uzushi tu; hakukuwahi kuwepo kitu kama hicho.Kuna ka kisiwa mita kadhaa kutoka Kigamboni, kabla Jumbe hajapelekwa ANSUYA NAVAS kisota alianzia huko inasemekana,
Nauliza kaliendelea kutumika kuficha waarifu, wahujumu uchumi na watuhumiwa wa uhaini kama wakati wa Nyerere?
Je, watu wanaruhusiwa kufika pale? Au bado Kako chini ya jeshi?
Chatu bado wapo?
Mwenye majibu please
View attachment 901484
Britannica