Hivi kale ka kisiwa ambako Nyerere aliwatia watu kizuizini kuna Rais aliendelea kukatumia? Au bado kanatumika?

panaitwa Mbudya mzee😊😊

sikuhizi panaingilika 24/7 vijana wanaenda shikana manyonyo kule

nitariudi, nipo na drive

Siku zingine ukiwa huna uhakika na jambo au jina au eneo fulani ni vyema ukanyamaza tu kuliko Kuanika ' Utupu ' wako wa Kifikra mbele ya ' Great Thinkers ' hasa wa JamiiForums.
 
Duh...tehtehtehtehteh...watu mna 'roho' ngumu...tehtehtehteh...Ila ushauri wangu kwa wengi ambao hawafahamu ni kuwa wote wale wanaoishi karibu na bahari wako katika mazingira hatarishi...Ndugu yangu unakumbuka kile kilichotokea kule Indonesia nadhani mwanzoni mwa miaka ya 2000 kutokana na tsunami?/ Bahari au mawimbi yake yalikuja kwa kasi zaidi ya futi 10 juu na kuua maelfu kwa maelfu ya watu...ikitokea hapa Dar walioko Kigamboni, masaki, msasani, Kawe, mikocheni, oysterbay, kunduchi, Bunju, city centre, kariakoo nk wataipatapata..tehtehtehtehtehteh

Jitahidi sana utafute ' Notes ' zako za Geography urudie Kuzisoma au ukishindwa basi mtafute Mwalimu au Mtaalam yoyote wa Masuala ya Jiografia akusadie kukupa ' maarifa ' zaidi ni kwamba kwanini hata iweje kwa Tanzania ilivyo Kijiografia pamoja na Bahari ya Hindi na ' Pepo ' zake hata siku moja hakutokuja kutokea hiyo ' Tsunami ' yako ambayo unaiombea iwatokee hao Wakazi wa hayo maeneo yako husika uliyoyataja hapo. Kupitia hii ' post ' yako ndiyo nimeamini sasa kwamba kumbe 85% ya Watanzania wengi siyo Wasomi 100% bali ni Wahitimu tu na Wamiliki wa Vyeti kwa 100%.
 
Mkuu, Tsunami inatokana na tetemeko la ardhi kwenye huo mkanda wake ulosambaa kutoka Bangladesh, India, Malaysia, Myanmar, Thailand, Sri Lanka na Maldives.

Sisi hatupo kwenye mkanda huo.

Nilmeweka kabisa kila kitu kwenye mapendekezo ya mradi wangu wa kisiwa hichi kuwa cha utalii mahali hapo.

Nasubiria majibu kutoka serikalini na wamekuwa wazito kwelikweli kurudi na majibu naona hawataki kupaachia mahali hapo.

:):):)

Heko / Kongole / Hongera zako kwa Kumuelimisha huyo ' Popoma ' na pengine ' Mapopoma ' wengine waliojificha na waliokuwa na mawazo kama ya huyo uliyemjibu. Kwa Bahari ya Hindi haitotokea hata siku moja ' Tsunami ' ikatokea na hii ni kutokana na sababu kadhaa za Kijiografia ambazo hata tu ukizitafuta katika ' Scientific Literature ' au ' Geography Publications ' mbalimbali unazipata na zipo wazi wazi tu lakini unakuta ' Lijitu ' lizima linamiliki ' Smartphone ' na ' Google ' yako ipo ' available ' muda wote lakini kutafuta tu ' maarifa ' ya jambo kama hili ameshindwa ila ukimwambia akuelezee Hamisa Mobeto, Diamond na Zari wako wapi na wanafanya nini ataweza mara moja.
 
Bolivia na Puerto Rico wanasemaje?

Wanawasalimieni tu Mkuu. Sijui na Wewe huko Tanzania uliko vipi mambo yanaenda salama lakini Mkuu? Natamani sana kuja huko ila kwa sasa Sheria za Kusafiri kutoka hapa Kisiwani Kwangu Puerto Rico kuja huko hasa Afrika ya Mashariki ni ngumu mno ila najitahidi Kupambana nazo ili nirejee zangu tu huko Nyumbani Tanzania kwani nimepakumbuka sana.
 
Siku zingine ukiwa huna uhakika na jambo au jina au eneo fulani ni vyema ukanyamaza tu kuliko Kuanika ' Utupu ' wako wa Kifikra mbele ya ' Great Thinkers ' hasa wa JamiiForums.

mbona umemaindi ivyo mzee baba?😁 mim nilikua namtoa nyoka pangoni ata sikua namaanisha kuwa Mbudya ndio icho kisiwa😊
 
Kuna ka kisiwa mita kadhaa kutoka kigamboni, kabla Jumbe hajapelekwa ANSUYA NAVAS kisota alianzia huko inasemekana,

Nauliza kaliendelea kutumika kuficha waarifu, wahujumun uchumi na watuhumiwa wa uhaini kama wakati wa Nyerere?

Je, watu wanaruhusiwa kufika pale? Au bado Kako chini ya jeshi?

Chatu bado wapo?
Mwenye majibu please
View attachment 901484

Britannica
Nyerere alitawala ktk mazingira magumu sana kumbuka alinusurika kuuawa mara kadhaa pia alinusurika kupinduliwa mara nyingi zaidi, ilibidi abuni mbinu ya kuzuia uasi ndipo akaja na hiyo ya kizuizini lakini awamu zilizofuata hawakuwa na hofu ya mapinduzi wala pressure za hatari ndiyo maana kizuizini ilikufa
 
Wajuzi wa mambo tunawangonja
Mwalimu Nyerere ikibidi abuni mbinu mbalimbali za kuzuia mambo ya hovyo kwenye utawala wake baada ya kugundua Rushwa kwenye mahakama pindi mtu mwenye uwezo au tajiri akifikishwa huko, alibuni kuzuini ili kupunguza Uasi na mapinduzi ambayo kipindi kile yalikuwa ni kama ushujaa barani Africa.
 
Back
Top Bottom