Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,769
- 3,649
Forget about the past and keep looking forward,makosa katika maisha ni kama maandishi ya kalamu ya wino,ukikosea huwezi ku-erase maandishi ila unaweza ku-cancel tu kwa mstari mmoja wa wino.Huo mstari mmoja wa wino ndio mpenzi wako mpya.Lakini kumbuka kwamba licha ya huo mstari mmoja ku-cancel yale maandishi bado yataendelea kuonekana tu nikimaanisha hata ukimpata mwenza mpya lakini bado kivuli cha mpenzi wa zamani kipo.
Neema!!!! umeniacha hoi hapo! hahahahayaani kuflirt na wanaume wengine ndio kisa cha kumuacha?
mie hata nikiolewa sitaacha kuflirt,unless umenikuta kitandani na mtu tunafanya mapenzi ndio nitakuelewa ukisema unaniacha sio upuuzi wa kusoma messages...............................
unahack vipi account facebook embu nifundishe nataka kuhack account ya mtu lol,am serious lol
Hivi, in case tukikagua emails zako, inbox zako zote JF, FB sijui twitter; hatutakuta umeflirt na mtu, kiutani au hata seriously?
Wewe achana nae huyo! Utakufa kwa presha bure! Hata mimi nakwambia ukweli toka moyoni nimeumizwa wiki hii hii! Huweziamini nimekonda kwa siku2 tu! Kula kwa taabu mawazo kibaao mwenzako anajirusha tu! Piga chini!
Mambo mengine ni kujitakia presha kama siyo BP..achana na email mimi hata simu ya mpenzi wangu imekaa hapo pembeni siigusi na yes ana marafiki wa kike, ma-X sijui Y na kadhalika..sasa nikianza kufuatilia kila kitu nitakuwa ana amani kweli ya roho? na yeye vivyo hivyo kwangu, ni kuwa na imani mtu anakupenda na kuheshimiana.
Pole kwa uliyoyakuta..kama umeamua kumuacha basi usiumie roho mana ni uamuzi uliodhamiria.
yaani kuflirt na wanaume wengine ndio kisa cha kumuacha?
mie hata nikiolewa sitaacha kuflirt,unless umenikuta kitandani na mtu tunafanya mapenzi ndio nitakuelewa ukisema unaniacha sio upuuzi wa kusoma messages...............................
unahack vipi account facebook embu nifundishe nataka kuhack account ya mtu lol,am serious lol
Asante sana kwa ushauri wako. na wewe pia pole kwa yaliyokukuta
Sasa huyo ni WANAWAKE au MWANAMKE?
Nwy pole kama wewe nae hujawahi kuflirt na watu wengine wakati ukiwa kwenye mahusiano nae.
Mimi ni mwanaume. Asante Lizzy
Kichwa ngumu na kukaza shingo dhidi ya wanaume kunawa-cost wanawake wengi.Najua Wanawake mtalipinga hili lakini.....SIRI SIRINI.yaani kuflirt na wanaume wengine ndio kisa cha kumuacha?
mie hata nikiolewa sitaacha kuflirt,unless umenikuta kitandani na mtu tunafanya mapenzi ndio nitakuelewa ukisema unaniacha sio upuuzi wa kusoma messages...............................
unahack vipi account facebook embu nifundishe nataka kuhack account ya mtu lol,am serious lol
Pole sn ndugu yangu..dah nadhani nami niko kwnye kundi km lako tu. BTW alichomaanisha Lizzy co kukuuliza km ww ni HE au SHE,anamaanisha umegeneralize wanawake wote ilhali huyo ni mmoja tu...that means ungeweka exception.
kwani wanamme wote wana mapenzi ya kweli?
Wahenga walisema'kwenye msafara wa mamba na kenge wako'
Tafakari, chukua hatua, haki mapenziiiii!