Huyu Mzee pamoja na kufariki kwake, ndiyo mtu sahihi anayepaswa kulijibu hili swali. Na ukija kwa mapolisi na kwenyewe jaribu kuwaangalia makamanda wastaafu! Wapo ambao waliwahi kuwa wenyeviti wa ccm Mkoa!Mwenzie huyu Augustino Ramadhani alitaka hadi kugombea urais kwa ticket ya CCM.
Ndio inapokuja ile kauli aliyoitoa Lissu kuwa majaji ni MaCCM kwa sababu hawakurudisha kadi za CCM baada ya 1992.
Hivyo sio Chande tu hata Said Mwema ni CCM kama alivyo IGP mwenzie mstaafu Simon Sirro.
View attachment 3580927
View attachment 3580925
Naam CCM ni kansa iliyoanzia tangu ngazi ta chini hivyo nguvu kubwa inahitajika kuitibu nchi kutokomeza kansa hii.Huyu Mzee pamoja na kufariki kwake, ndiyo mtu sahihi anayepaswa kulijibu hili swali. Na ukija kwa mapolisi na kwenyewe jaribu kuwaangalia makamanda wastaafu! Wapo ambao waliwahi kuwa wenyeviti wa ccm Mkoa!