Nashangaa kuona kituo cha habari ambacho mm nilikuwa nakiamini lakini sasa kinageuka karaha kwangu. Eti ITV ndo wa kupata habari moja tu ya kimataifa na mbili tu za michezo!!. Imekuwa hivi kila siku lakini sasa imenichosha ngoja niseme labda mtajirekebisha. Na kama mnabisha leteni hapa taarifa yenu ya habari ya leo tarehe 26/03/2015 saa mbili usiku. Habari za kimataifa ilikuwa moja kuhusu ndege iliyoanguka na habari za michezo ilikuwa ni kuhusu michezo ya timu yenu ya IPP kushinda mechi ya leo dhidi ya TBC na ile ya wanafunzi wa zanzibar. Hivi kweli hamna watu makini wenye uwezo kama kina Shafii Dauda kutafuta habari za michezo zilizopo kwa sasa za kimataifa? Mfano mtu aliyeangalia ITV leo mpaka mwisho bila kubadilisha anaweza kujua kama leo kuna mechi ya kimataifa ya kirafiki ambayo Brazil atacheza leo? Huu kwangu mimi nauita uzembe na uvivu. Mjirekebishe la sivyo mtapoteza watazamaji.
ukawa hawakuwa na kikao mkutano.... Mana ndo habari za itv ,ukawa na maovu ya serikali..nashangaa kuona kituo cha habari ambacho mm nilikuwa nakiamini lakini sasa kinageuka karaha kwangu. Eti itv ndo wa kupata habari moja tu ya kimataifa na mbili tu za michezo!!. Imekuwa hivi kila siku lakini sasa imenichosha ngoja niseme labda mtajirekebisha. Na kama mnabisha leteni hapa taarifa yenu ya habari ya leo tarehe 26/03/2015 saa mbili usiku. Habari za kimataifa ilikuwa moja kuhusu ndege iliyoanguka na habari za michezo ilikuwa ni kuhusu michezo ya timu yenu ya ipp kushinda mechi ya leo dhidi ya tbc na ile ya wanafunzi wa zanzibar. Hivi kweli hamna watu makini wenye uwezo kama kina shafii dauda kutafuta habari za michezo zilizopo kwa sasa za kimataifa? Mfano mtu aliyeangalia itv leo mpaka mwisho bila kubadilisha anaweza kujua kama leo kuna mechi ya kimataifa ya kirafiki ambayo brazil atacheza leo? Huu kwangu mimi nauita uzembe na uvivu. Mjirekebishe la sivyo mtapoteza watazamaji.
kazi ya uandishi imewashinda wafanyakazi mahiri wameshawahama imebaki mizigonashangaa kuona kituo cha habari ambacho mm nilikuwa nakiamini lakini sasa kinageuka karaha kwangu. Eti itv ndo wa kupata habari moja tu ya kimataifa na mbili tu za michezo!!. Imekuwa hivi kila siku lakini sasa imenichosha ngoja niseme labda mtajirekebisha. Na kama mnabisha leteni hapa taarifa yenu ya habari ya leo tarehe 26/03/2015 saa mbili usiku. Habari za kimataifa ilikuwa moja kuhusu ndege iliyoanguka na habari za michezo ilikuwa ni kuhusu michezo ya timu yenu ya ipp kushinda mechi ya leo dhidi ya tbc na ile ya wanafunzi wa zanzibar. Hivi kweli hamna watu makini wenye uwezo kama kina shafii dauda kutafuta habari za michezo zilizopo kwa sasa za kimataifa? Mfano mtu aliyeangalia itv leo mpaka mwisho bila kubadilisha anaweza kujua kama leo kuna mechi ya kimataifa ya kirafiki ambayo brazil atacheza leo? Huu kwangu mimi nauita uzembe na uvivu. Mjirekebishe la sivyo mtapoteza watazamaji.
Na eti habari kali ya uchunguzi ilikuwa ile ya Mangi wa kimara aliyekufa kwa shoti ya umeme yeye na nduguye wakati wakisukuma gari! Hiyo nayo ni habari ya uchunguzi kama ya Mohamedi Ally@jicho pevu.!
Nashangaa kuona kituo cha habari ambacho mm nilikuwa nakiamini lakini sasa kinageuka karaha kwangu. Eti ITV ndo wa kupata habari moja tu ya kimataifa na mbili tu za michezo!!. Imekuwa hivi kila siku lakini sasa imenichosha ngoja niseme labda mtajirekebisha. Na kama mnabisha leteni hapa taarifa yenu ya habari ya leo tarehe 26/03/2015 saa mbili usiku. Habari za kimataifa ilikuwa moja kuhusu ndege iliyoanguka na habari za michezo ilikuwa ni kuhusu michezo ya timu yenu ya IPP kushinda mechi ya leo dhidi ya TBC na ile ya wanafunzi wa zanzibar. Hivi kweli hamna watu makini wenye uwezo kama kina Shafii Dauda kutafuta habari za michezo zilizopo kwa sasa za kimataifa? Mfano mtu aliyeangalia ITV leo mpaka mwisho bila kubadilisha anaweza kujua kama leo kuna mechi ya kimataifa ya kirafiki ambayo Brazil atacheza leo? Huu kwangu mimi nauita uzembe na uvivu. Mjirekebishe la sivyo mtapoteza watazamaji.