Doh pole..tatizo lako ka langu
je wewe huwa unamtafuta,na kama ukimtafuta huwa anajibu vipi maana tusijepiga kelele hapa kumbe ni mfumo wenu wa maisha.
wachakuchukua ushaurimoja kwa moja hivyo unaposhauriwa na wewe tafiti kupitia huo ushauri maana waweza kasirika na kuchukua maamuzi kumbe unamuumiza mwenzio.ila jaribu kukaa kimya sana ukiona hakuna jibu kutakuwa na tatizo hapo nakuombea amani ya moyo.
ndugu muongozo inawezekanaje sasa na watu hampo distant, hilo me nadoubt
Inawezekana..Usipochukua uamuzi wa haraka utagundua mengi ambayo pengine ungeharakisha yangeharibu uhusiano wako kwa mtu uliyempenda au mliependana.
::
Kutafuta majibu ya haraka,ni kutaka kuthibitisha maamuzi uliyochukua.Mwezi mmoja bado naamini ni muda wa kawaida ukilinganisha na wanaotengana kwa miezi 6 au mwaka.
NANASI,kumbuka Real Love never die.
::
Lakini pia ni wakati wa kutafakari chaguo lako iwapo ni sahihi.
Kama ni wako ni wako,,ataenda atarudi KEEP FAITH
=
habar, hv kwel Jaman inawezakawa usionane na mpenzi wako takrban mwez na siku kadhaa kwel na sio mtu waubusy kiivyo, japo mawasiliano yapo pale pale but spending time ni zero na haikuwa hivyo... mm ni lady!
mama jichukulie time zako ufanye shughuli zingine kama kuna mtu alikuwa anakutokea ukamkataa kwa ajili yake ungali ulikuwa unamkubali mpe nafasi ya majadiliano,vinginevyo tulizana.hauna mpenzi hapo mama pole kwa kipindi hiki kigumu.ndo maana nkasema mwanzo haikuwa hivyo. na mtafuta ila anavyonpa time table yake ya siku anamaanisha kabisa no time to meet!
na ngoja ngoja yaumiza tumbo.haya maamuzi ni ngumu kuyachukua kuliko kuyaandika!!aendelee kuvuta subira kwa yavuta heri!!!
NO and YES yote ni majibu ila kila jibu hapo lina maana na sababu zake!! siku zote usilaumu mtu bila kujua sabu ya kitu na usijipe jibu bila ya kujua swali!!
me napingana na wanaosema kuwa ana mwingine coz hata wewe pia unaweza ukawa una mwingine!!
yawezekana haonani na wewe labda ukiwa naye una m boa vitu flan ambavyo havpend, kwa mfano kila unapokutana naye unataka ku X wakat yeye anataka mara 1 kwa mwez, hapo unadhan ataonana na wewe kila siku au week?
labda amepata tetes kuwa un boy mwingine na anakufatilia kugundua hilo, lazma awe mbali na ww coz ukitaka kumpiga nyani...............
vp wewe umeonyesha kuhtaji kuwa naye ama kuonana naye?
yawezekana hujawah kumwomba muonane na huwa unategemea yeye tu ndo akuambie muonane, sasa na yeye anataka umwambie muonane!!
kwa msaada zaid naomba uni PM, DJ Imma
mama jichukulie time zako ufanye shughuli zingine kama kuna mtu alikuwa anakutokea ukamkataa kwa ajili yake ungali ulikuwa unamkubali mpe nafasi ya majadiliano,vinginevyo tulizana.hauna mpenzi hapo mama pole kwa kipindi hiki kigumu.
hiyo inawezekana, wala usihofu. ila kuchunguza zaidi ni muhimu pale unapoona mabadiliko hasa ktk mapenzi
Mwendeee kwa babu mzee Mwanamalundi kule Shinyanga takusaidia:bowl:
habar, hv kwel Jaman inawezakawa usionane na mpenzi wako takrban mwez na siku kadhaa kwel na sio mtu waubusy kiivyo, japo mawasiliano yapo pale pale but spending time ni zero na haikuwa hivyo... mm ni lady!
habar, hv kwel Jaman inawezakawa usionane na mpenzi wako takrban mwez na siku kadhaa kwel na sio mtu waubusy kiivyo, japo mawasiliano yapo pale pale but spending time ni zero na haikuwa hivyo... mm ni lady!
mwisho wa sku utashinda na maisha yataendelea changamoto ndio kukua kwenyewe huko.ntalifikiria maana si unajua moyo tena ukishadondoka unainuka taratibu
Inawezekana.. Hasa kama mpenzi ana kero na maudhi kibao.